MmmhView attachment 620494 mim mkaka akiwa na body la hivi hata kumkataa hua najiuliza mara mbili mno,bora kufurahisha nafsi maisha mafupi,,wakaka wenye mabody ya hivi na sura za wastani mbarikiwe mnanipaga raha hata kuwatazama tu
Daaaah ganja wengi
VijambaziHivi viroba kule Kenya huwa vinaitwaje?
Oya njoo ghetto mwana! Nina issue naweweWakuu JF,
Kwanza niwasabahi km mko pouwa pouwa. Nimekutana na warembo wanabishania khs handsome, nimeshangaa kwel, nikajiuliza, u_handsome unaliwa?! Halaf nikajaribu ku soma mawazo yao namna wanavyoongelea aina ya ma handsome walivyo.
Naomba nisipoteze muda sana na blah blah, embu akina naniii tupien ma picha ambayo mnahic au kuona hawa ni ma handsome.
kichwa kama kabati la kuwekea chips.Asante sana.kama mimi sio
Namuelewa Sana nlimuona kwa movie moja hivi ya think like a man act like a lady sema nahisi sio mrefu kiivo
Nimechekaaa mno jf mnajua kukatisha watu Tamaa umenipa jioni mwananakichwa kama kabati la kuwekea chips.