ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
-
- #181
Yaukali kali hvwewe ni ndege John kwweli kwweli (kwa sauti ya Magu)
Sasa si usiendeUzi umeshaenda hewani na tunaanza safari ya maisha Kama ifuatavyo.sasa hivi Ni saa kumi jioni naenda kwa mwalimu wangu ambaye ninacheza naye tennis kila siku.sina uhakika Kama tutacheza kutokana na Hali ya hewa Kuwa na manyunyu.anyway ngoja nikamcheki tuone Kama tutacheza au la
hahahaYaukali kali hv
Wewe endelea kutazama hi movieHichi Kibarua Ulichojiajiri Humu Jf Bado Kinaendelea?
Alafu inaonekana unafanya biashara haramu Nisha connect dots na kuunlock passwordWewe endelea kutazama hi movie
Sisi kichwa kichafu Mimi lengo langu kubwa Ni kufa nikiwa nimemuona mwenyezi Mungu yaani kwa namna yoyote lazima tuijue KWELIHichi Kibarua Ulichojiajiri Humu Jf Bado Kinaendelea?
Sisi kichwa kichafu Mimi lengo langu kubwa Ni kufa nikiwa nimemuona mwenyezi Mungu yaani kwa namna yoyote lazima tuijue KWELI
Ndio hasa Mimi nataka tujue shetani Ni sisi wenyewe hakuna shetani.isipokuwa absence of goodness ndio kitu ambacho tunakiita shetani.nataka tu ifight hii ujinga ndo maana nataka tuepuke mabaya kwa KU replace na mema.tusaidie watu Kama sisi tuna uwezo.afya ndio Jambo la kwanza.mimi nachoamini tuna weza kuishi bila dawa,bila utajiri,bila shidaJambo Zuri Sana Boss.
Japo Kuna Vipingamizi Na Vikwazo Vya Hii Dunia Ila Tunapaswa Kujitahidi Kwa Kadri Tuwezavyo.
Wewe Mimi nakwambia hivi Mimi nataka kuthibitisha kwa macho na Kisha naamini Kuwa kitabu kikubwa cha Mungu Ni maisha yako.kila mja Ni shahidi wa nafsi yake mwenyewe..tuna amini Kuna kweli na Kuna UHAKIKA.mimi kwa mtazamo wangu Kuna watu ambao wapo duniani.wanafanya kazi nzuri sana hata wakifa wanakuwa wameacha hekima kubwa ambayo inaweza kutumia kwenye kazi za kisanaa, kisiasa,. Tuna dini nyingi DUNIANI na kila dini inaona dini ya mwenzake Kuwa Ina udhaifu.wajibu wetu Ni kununua kilicho Bora ndio maana tunasema Kuwa tutaishi kwa nyakati na Kuwa usahihi na kwa uhakika na kwa uhai.Alafu inaonekana unafanya biashara haramu Nisha connect dots na kuunlock password
Umedai kuwa huu uzi ni wa maisha yako, mbona sioni ukipost ukiwa chooni, ama kwenyewe si sehem ya maisha?!!Wewe Mimi nakwambia hivi Mimi nataka kuthibitisha kwa macho na Kisha naamini Kuwa kitabu kikubwa cha Mungu Ni maisha yako.kila mja Ni shahidi wa nafsi yake mwenyewe..tuna amini Kuna kweli na Kuna UHAKIKA.mimi kwa mtazamo wangu Kuna watu ambao wapo duniani.wanafanya kazi nzuri sana hata wakifa wanakuwa wameacha hekima kubwa ambayo inaweza kutumia kwenye kazi za kisanaa, kisiasa,. Tuna dini nyingi DUNIANI na kila dini inaona dini ya mwenzake Kuwa Ina udhaifu.wajibu wetu Ni kununua kilicho Bora ndio maana tunasema Kuwa tutaishi kwa nyakati na Kuwa usahihi na kwa uhakika na kwa uhai.
Chooni hata nyani anaenda hata mende anakunya tu..sisi tunataja tuithamini humanity walio nayo wanadamuUmedai kuwa huu uzi ni wa maisha yako, mbona sioni ukipost ukiwa chooni, ama kwenyewe si sehem ya maisha?!!
Sawa, mwanaume wa drsm.Chooni hata nyani anaenda hata mende anakunya tu..sisi tunataja tuithamini humanity walio nayo wanadamu