Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ijulikane hivyoMarehemu kafa
Sababu ya kifo chake?
Kaangukiwa na jani la mchicha
Kufungwa kwa simba kumewapa watu exposure ya kuandika special thread
Haa haha hahahKuna Watu Unawapiga Na Kitu Kizito
Chama la wanaNawakubali sana Mbeya City.
Vyombo vya dhahabuKuna watoto wazuri.
Hao jamaa kuna mwaka (nimeusahau) waliibuka wakiwa hot sana mpaka wakatishia uhai wa timu hizi mbili, jezi zao zikawa zinatembea balaa cjui badae ilkua nini nyota ikafifia, naona wamerejea tena.Chama la wana
Fitna za mitimu ya wachawi wa KariakooHao jamaa kuna mwaka (nimeusahau) waliibuka wakiwa hot sana mpaka wakatishia uhai wa timu hizi mbili, jezi zao zikawa zinatembea balaa cjui badae ilkua nini nyota ikafifia, naona wamerejea tena.