Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Kweli bhana majamaa yana fitina mbaya sana. Inkumbusha story ya Tukuyu stars ✨ walivyoibuka na kubeba kombe kisha kupotea mazima mpaka leo.Fitna za mitimu ya wachawi wa Kariakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli bhana majamaa yana fitina mbaya sana. Inkumbusha story ya Tukuyu stars ✨ walivyoibuka na kubeba kombe kisha kupotea mazima mpaka leo.Fitna za mitimu ya wachawi wa Kariakoo
Na mimi ngoja nianzishe uzi wa mashabiki wa Mtibwa.
Hizo ni za mikia fc wanajangwani hatuna mambo hayo.Fitna za mitimu ya wachawi wa Kariakoo
Wanashindwa wenyewe kwenye uwekezaji, wanakariakoo fitna zipo kwenye uwekezaji⛹️.Kweli bhana majamaa yana fitina mbaya sana. Inkumbusha story ya Tukuyu stars ✨ walivyoibuka na kubeba kombe kisha kupotea mazima mpaka leo.
Mkuu Mbeya City hawakuanza juzi hizo advertise zao. Washabiki wa Mbeya City ni vichaa kwenye masuala ya mpira kama mashabiki wa Timu za Afrika ya Kusini. Kuna mwaka kulikuwa na Mechi kati ya Mbeya City na Yanga, Mashabiki wa Mbeya City walikesha wakiimba na kushangilia. Pale Uyole (Junction) kulikuwa na kundi kubwa la mashabiki wa Mbeya City walikuwa wakipita mashabiki wa Yanga na magari yao hawakuruhusiwa kushangilia wakipita eneo hilo. Sema tu kumfunga Simba imewapa mileage zaidi kwa kuwa hawajawahi kufanya hivyo. Sasa bado kumfunga Yanga, siku hiyo sijui itakuwaje.Marehemu kafa
Sababu ya kifo chake?
Kaangukiwa na jani la mchicha
Kufungwa kwa simba kumewapa watu exposure ya kuandika special thread
Waifunge Yanga ipi wewe?Mkuu Mbeya City hawakuanza juzi hizo advertise zao. Washabiki wa Mbeya City ni vichaa kwenye masuala ya mpira kama mashabiki wa Timu za Afrika ya Kusini. Kuna mwaka kulikuwa na Mechi kati ya Mbeya City na Yanga, Mashabiki wa Mbeya City walikesha wakiimba na kushangilia. Pale Uyole (Junction) kulikuwa na kundi kubwa la mashabiki wa Mbeya City walikuwa wakipita mashabiki wa Yanga na magari yao hawakuruhusiwa kushangilia wakipita eneo hilo. Sema tu kumfunga Simba imewapa mileage zaidi kwa kuwa hawajawahi kufanya hivyo. Sasa bado kumfunga Yanga, siku hiyo sijui itakuwaje.
Ya Kariakoo, DSM.Waifunge Yanga ipi wewe?
Kumbe siku hizi Mbeya watoto kama hao wapo
Tunasema hivi, kwenye uwanja wetu wa Mapinduzi, Yanga itatagaMkuu Mbeya City hawakuanza juzi hizo advertise zao. Washabiki wa Mbeya City ni vichaa kwenye masuala ya mpira kama mashabiki wa Timu za Afrika ya Kusini. Kuna mwaka kulikuwa na Mechi kati ya Mbeya City na Yanga, Mashabiki wa Mbeya City walikesha wakiimba na kushangilia. Pale Uyole (Junction) kulikuwa na kundi kubwa la mashabiki wa Mbeya City walikuwa wakipita mashabiki wa Yanga na magari yao hawakuruhusiwa kushangilia wakipita eneo hilo. Sema tu kumfunga Simba imewapa mileage zaidi kwa kuwa hawajawahi kufanya hivyo. Sasa bado kumfunga Yanga, siku hiyo sijui itakuwaje.
Tena ni hapo karibu na Rift Valley Hotel ni pabaya si mchezo!Tunasema hivi, kwenye uwanja wetu wa Mapinduzi, Yanga itataga
Sasa hivi tunaita tu tunasema"Uwenje"Tunasema hivi, kwenye uwanja wetu wa Mapinduzi, Yanga itataga
UwenjeSasa hivi tunaita tu tunasema"Uwenje"
Haha hahahTena ni hapo karibu na Rift Valley Hotel ni pabaya si mchezo!