Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

Mazoea ya kazi ni mabaya sana haswa unapokuwa ofisi ambayo iko bize maana unaamini doc ikiletwa mezani na wasaidizi wako inakuwa clean, nimeshashuhudia mambo ya kuchomekeana doc makazini, hafu ujue kuna mlolongo wa usumbufu kwenye transfer haswa Magari, hiyo imepelekea vijana ambao wanajulikana huko TRA kushirikiana na watumishi na kufanya mambo shortcuts. Mifumo ya serikali inasababisha ishu kama hizo zitokee
 
KAKAAA UKO TRA UMEJUAJE KAWATAJA WANAITWA VISHOKA NDIOO WALIOSHIRIKIANA NA HUYO DADA
NA WANAJULIKANA
1-..MARANDU
2..TADEUS MOSHA
NA ANA USHAHIDI N MAKONKI WA HIO OFISI AISEE KAZI TUNAYOO SANA
 
JK alichomekewa ambulance
 
Ukienda na tatizo lolote police ni opportunity kwao kula hela yako. Hawana ubinadamu kabisa.

Police nenda kama kufuata utaribu Tu lakini mtu wako malizana naye nje(kistaarabu au kimafia)


Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisaaaaaaaasaa mkuu
Mm binafsi wala nisingeumiza.KICHWA HILO dianabaa LA tra NTAZUNGUKA NABEBA evidence kote na majibu YAO namtafuta kamishna mkuu /waziri HUSIKA NATOKA.NAENDA central namuanzishia kesi LA Nida I'd ..aisee atazaa.mapacha nakote nakamata details na wanachonijibu
SIKU UKIONA Amnaa MWELEKEO unaziacha datazote kwa vyombo vyahabari NAKWAMBIA watakutafta

NATOKA nasikilizia MH RAISI yukoo mkoa gani kwa wanannchi najipanga namwaga kilakitu weee
 
Hili la afande Rehema, tayari yuko chini ya uchunguzi, mwambie jamaa yako atoe ushirikiano akiitwa Osterbay
Sent using Jamii Forums mobile app
 

kama polisi wanatumwa kukamata muhalifu na wanakuta muhalifu hana pesa .unategemea nini hapo [emoji846] .....tupande dau


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kama polisi wanatumwa kukamata muhalifu na wanakuta muhalifu hana pesa .unategemea nini hapo [emoji846] .....tupande dau


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hatareemkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…