Uzi maalum wa nyau wetu majumbani

Uzi maalum wa nyau wetu majumbani

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Tu fanye kushare picha za nyau wetu wale tunaofuga nyau majumbani
1558432303729.jpeg
IMG_20190521_125019.jpeg
IMG_20190521_124744.jpeg
IMG_20190521_124656.jpeg
IMG_20190521_123931.jpeg
1558432381035.jpeg
IMG_20190521_123828.jpeg
IMG_20190521_124713.jpeg
 
hivi vipaka navionaga hapo kwa jirani dukani...muda mwingine wikiend anakuwepo yule braza kaka.!

tega nikutegue.utakuwa ndiye
 
asee Mungu ameumba viumbe vingi ila paka kampendelea mno dah! kampa ustaarabu kampa busara, kamfanya kuwa rafiki wa binadamu na kumsabahi pale anapokuwa mpweke. nachopenda kutoka kwa paka ni kile kisauti chake nyororo sura yake na kuomba kukunwa kichwani + mgongoni.
 
ndege John gani marabou stork(leptoptilos crumeniferus) anaefukua jalalani mwenye mikono laini namna hii!?
 
Mkuu, huo mkono wako mbona laini sana hadi unahamasisha...teh!
Samahani kwa kutoka nje ya mada, lakini naomba pia nikupongeze kwa kufuga paka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Raha ya paka ahasiwe(kama nimeiandika sawa) atakua vizur sana bila shida za hapa na pale
 
Back
Top Bottom