Uzi maalum wa vituko vya kipindi cha balehe

Uzi maalum wa vituko vya kipindi cha balehe

kunguni wa ulaya

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
4,131
Reaction score
6,111
Mimi bwana enzi hizo nikiwa nimehamia Dar nikiwa naishi kwa kaka yangu kukawa na shemeji yangu nae ana mdogo wake wa kike tukawa tunaishi nyumba moja.
Mimi geto langu lilikua banda la uani na la huyo binti lilikua nyumba kubwa (wote tulikua katika kipindi cha kubalehe).

Sasa mtoto nikamwimbisha vizuri ishu ikawa muda wa kunjunjana na sehemu salama ya kunjunjana. Basi tulikubaliana tuwe tuna njunjana usiku watu wote wakiwa wamelala. Yeye anachofanya anaacha dirisha moja wazi na kwenye dirisha kuna nondo ilikua inatoka basi kidume nazama ndani kwenda kupata utamu.

Kituko kingine bwana siku ya kwanza kuanza mambo si nikachukua condom (ugeni mbaya sana) nikaanza kuinyoosha alafu ndio niivae. Kila nikivaa ndomu haiingii kwenye mashine. Nikahangaika kweli mwisho nikafungua pakti nyingine ndio nikapata wazo la kuingiza mashine kabla sijaikunjua.

Balehe ina raha yake lakini japo sasa tusgakua watu wazima na familia.

Nawewe tupia kituko chako,kitu ulichokifanya kwa nguvu ya genye wakati wa balehe leo hii unajishangaa hata wewe mwenyewe!
 
Duh umenikumbusha mbali sana enzi hizo bana niko primary maika hiyo sie primary ushakuwa watu wazima miaka kama 15_17+
Basi kutongoza siwezi naona noma hatariiiii yaani kiufupi nilikuwa mtu wa aibu asikwambie mtu
Basi nikawa napata taabu kweli uume usiku unasimama wee naota mandoto nyevu basi nikaja kuujua mchezo wa punyeto😀😀😀😃😂😂😂😂
Asante sana nyeto ulinishika kipindi cha shida
Huwezi amini nimekuja kumjua mwanamke wakati nimemaliza kidato cha nne nimerudi home nasubiria matokeo na nilizawadiwa na mdada mmoja baada ya kufauru kuendelea na masomo
Akanipenda kwa sababu mtaani kwetu wenzangu wote hawakubahatika kuendelea
 
Wkt wa barehe Kama ulishawahi kuota unakula zigo Kisha wkt wazungu wanataka kutoka ukajizuia yale maumivu asikuambie mtu ile ni adhabu tosha ila ukiwaruhusu watoke mpk unaweza ng'ata godoro kwa utamu😁😂😂😂😂😂
 
Mimi bwana enzi hizo nikiwa nimehamia Dar nikiwa naishi kwa kaka yangu kukawa na shemeji yangu nae ana mdogo wake wa kike tukawa tunaishi nyumba moja.
Mimi geto langu lilikua banda la uani na la huyo binti lilikua nyumba kubwa (wote tulikua katika kipindi cha kubalehe).

Sasa mtoto nikamwimbisha vizuri ishu ikawa muda wa kunjunjana na sehemu salama ya kunjunjana. Basi tulikubaliana tuwe tuna njunjana usiku watu wote wakiwa wamelala. Yeye anachofanya anaacha dirisha moja wazi na kwenye dirisha kuna nondo ilikua inatoka basi kidume nazama ndani kwenda kupata utam.
Kituko kingine bwana siku ya kwanza kuanza mambo si nikachukua condom (ugeni mbaya sana) nikaanza kuinyoosha alafu ndio niivae..kila nikiiva ndom haiingii kwenye mashine. Nikahangaika kweli mwisho nikafungua pakti nyingine ndio nikapata wazo la kuingiza mashine kabla sijaikunjua.

Balehe ina raha yake lakini japo sasa tusgakua watu wazima na familia.

Nawewe tupia kituko chako,kitu ulichokifanya kwa nguvu ya genye wakati wa balehe leo hii unajishangaa hata wewe mwenyewe!


Mimi nilikuwa naitwa Mze wa ngazi kitaani kwetu na bwenini shuleni. Nilikuwa napenda sana kutembelea maeneo ya gesti, nikiona watu tu wanaingia gesti na wapenzi wao nilikuwa naenda kuuliza wameingia chumba gani na kumuachia hela muhudumu wa gesti kwa ushirikiano wake mzuri. Basi kidume nilikuwa narudi kichakani kuchukua ngazi yangu niliyoificha na kupanda dirishani kuchungulia wakilana uroda. Hiyo ndiyo ilikuwa starehe yangu ambayo ilikuja kunifelisha shuleni kwani nilikuwa naenda darasani asubuhi huku macho mekundu na usingizi kibao kutokana na kutokuwa nalala usiku kuwavizia watu gesti.
 
Mimi nilikuwa naitwa Mze wa ngazi kitaani kwetu na bwenini shuleni. Nilikuwa napenda sana kutembelea maeneo ya gesti, nikiona watu tu wanaingia gesti na wapenzi wao nilikuwa naenda kuuliza wameingia chumba gani na kumuachia hela muhudumu wa gesti kwa ushirikiano wake mzuri. Basi kidume nilikuwa narudi kichakani kuchukua ngazi yangu niliyoificha na kupanda dirishani kuchungulia wakilana uroda. Hiyo ndiyo ilikuwa starehe yangu ambayo ilikuja kunifelisha shuleni kwani nilikuwa naenda darasani asubuhi huku macho mekundu na usingizi kibao kutokana na kutokuwa nalala usiku kuwavizia watu gesti.
Hahahahhaha. Mzee wa chabo.
 
Wkt wa barehe Kama ulishawahi kuota unakula zigo Kisha wkt wazungu wanataka kutoka ukajizuia yale maumivu asikuambie mtu ile ni adhabu tosha ila ukiwaruhusu watoke mpk unaweza ng'ata godoro kwa utamu[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ww kweli ndoto nyevu unazikumbuka [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ww kweli ndoto nyevu unazikumbuka [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna matukio huwa hayasahauliki ndugu.. huo ndo wkt unaweza kuwala watoto wote wa mtaani kwa ndoto tu! Na ndipo nyeto hutokea hapa Cha ajabu kwenye nyeto humuwazi unayempenda ila wengine kabisa! Balehe si kitu Cha mchezo mchezo😂😂
 
Back
Top Bottom