kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,131
- 6,111
- Thread starter
- #21
Mabikra wakiume hao!Dah wengine wemejifunzia kwa wake zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabikra wakiume hao!Dah wengine wemejifunzia kwa wake zao.
acha kabisa man,,na zilikuwaga tamu kweli kweli zile za kujifunziaAhahahhahahaaa..
Kila mtu ana mtu wake wa kujifunzia kuipiga K.
Wengine mabeki 3,wengine mamdogo, wengine mabinam...ujana raha sana!
kijiji alipoolewa ndo kijijini kwetu pia,,alipotokea mama yangu mzazi,,,niliwahi kwenda cku 1 kijijini ila ckufanikiwa kuonana nae,,,namuuliziaga kwa watu wanaotoka kijijini wakija mjini kutusalimia na wao ndo wananiambia amechoka kichizi,,,ipo cku kweli ntamtafuta japo nimpelekee wax pair 2 na chenchi kidogo anunue japo mInabidi umtafute huko kijijini umlipe fadhila.
Ronaldo alipewa pizza alipokuwa na njaa wakati ana umri wa miaka 11 amemtafuta yule dada mhudumu ili amlipe fadhila.
Mpe mtaji afungue mgahawa au genge la nyanya na mboga mboga.kijiji alipoolewa ndo kijijini kwetu pia,,alipotokea mama yangu mzazi,,,niliwahi kwenda cku 1 kijijini ila ckufanikiwa kuonana nae,,,namuuliziaga kwa watu wanaotoka kijijini wakija mjini kutusalimia na wao ndo wananiambia amechoka kichizi,,,ipo cku kweli ntamtafuta japo nimpelekee wax pair 2 na chenchi kidogo anunue japo m
lotion ajipake,,,,tatizo hata nikisema nimcheki kila mwisho wa mwez kwa mpesa bado itakua ngumu,maana mahitaji yake pale kwake ni makubwa mno,,,ana timu ya basketball pale kwake,,wtt saba wakati mwaka huu ndo anatimiza 40 ni hatari
mkuu hiyo kidoogo inaweza kuleta maana,ila tatizo pale mahali ni kijijini sana,,sio pa mchezo mchezo,kiasi kwamba unaweza ukampa kimtaji cha kufanya kitu akaishia kukitafuna kimtaji chote badala ya kukuendeleza,,,mboga pale cjui km atauza maana watu wanachuma mboga mashambani kwao na zingine wanakausha kwa ajili ya msimu wa kiangazi,,kitu ambacho naona pengine kinaweza kumnyanyua kidogo labda afungue kiosk km kiduka hv at least hata cha laki 5 kwa kuanzia japo sina uhakika mtt wa mjomba km ataweza kukitunza au ataishia kukitafuna ndani ya miez 6 akifunge....anyway,,wazo lako ni zuri mkuu na nitalifanyia kazi kabla ya mwaka kuisha,,,mwishoni mwa december nitaenda na nitahakikisha nampata niongee nae anipe mawazo yakeMpe mtaji afungue mgahawa au genge la nyanya na mboga mboga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nilikuwa naitwa Mze wa ngazi kitaani kwetu na bwenini shuleni. Nilikuwa napenda sana kutembelea maeneo ya gesti, nikiona watu tu wanaingia gesti na wapenzi wao nilikuwa naenda kuuliza wameingia chumba gani na kumuachia hela muhudumu wa gesti kwa ushirikiano wake mzuri. Basi kidume nilikuwa narudi kichakani kuchukua ngazi yangu niliyoificha na kupanda dirishani kuchungulia wakilana uroda. Hiyo ndiyo ilikuwa starehe yangu ambayo ilikuja kunifelisha shuleni kwani nilikuwa naenda darasani asubuhi huku macho mekundu na usingizi kibao kutokana na kutokuwa nalala usiku kuwavizia watu gesti.