Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi hicho nipo chuo nilimtokea binti mmoja hivi ili azibe pengo la huyu ambaye nimemuacha street, huyu wa street alikua ni mfanyakazi so kama atanifuata ni lazima apige simu.
Siku hiyo goma la chuo nimelala nalo na kuamka nalo nyumba kubwa ikaniambia inakuja saa kumi. Ikabidi nianze kutunga uongo ili huyu aende.
Akagoma mpaka gemu lipigwe.
Mi nikaona huu utata sasa jana tumelala sasa hivi hataki kuondoka mpaka gemu na atakayekuja naye atataka gemu, nikajifanya kununa.
Binti haelewi.
Nikaona isiwe shida nikaruka naye viwili, akaondoka.
Nyumba kubwa imefika nikawa naichenga chenga ili nirudishe nguvu angalau kidogo.
Muda wa kuoga nikajua lazima simu itapigwa tu, nikaenda bafuni nikavunja balbu nikajifanya balbu imevunjika hivyo inabidi niende na simu niitumie kama tochi.
Muda wa kulala show zikaanza, kufika show ya tatu nikawa simwagi tena wazungu yanatoka maji tu nikaulizwa vipi nikasema sielewi.
Akajibu kama huelewi basi tuendeleze moto, usiku sikulala.
Na yale maumivu ya kiuno niliyoyapata plus kujiuliza "Hivi kweli navunja balbu ili nichepuke?"
Nikaacha michepuko.
Mchumba wangu asipite akaona nimeweka comment humu
Hahahahaha ila kwelimkuu we ulikuwa kiboko,wasiwasi wangu siku nyingine utakuja kuvunja na mita kabisa
Mimi sijawai chepuka kwa kweli!!!Nahuku upo !!.
Nikaacha michepuko.
Aahhh oryt datz greatMimi sijawai chepuka kwa kweli!!!
Mnachokitafuta mtakipata tu mbona mnataja faida tuu semeni na hasara mbona maradhi mnayopelekea wake zenu hamyasemi?[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Mkuu kumbe na ww mchepukaji?haya
Mkuu kumbe na ww mchepukaji?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usipochepuka utakuwa na matatizo kama sio ya kimaumbile basi ya akili[emoji28][emoji28]