Uzi maalumu kuelezea nini kinaendelea popote ulipo Tanzania na dunia nzima

inchaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
2,427
Reaction score
4,944
Karibuni wadau.

Nashauri kila mtu aseme nini kinaendelea pahala alipo ili kama ni dharura isaidie kufikisha ujumbe kwa mamlaka husika. na kama ni heri labda unakula supu au mishkaki napo si mbaya ukitutoa udenda.

Mimi kwa kuanzia nipo mitaa ya Ilala boma kwa sasa. Naelekea kibaruani kwangu maeneo ya Kurasini. Na nimechelewa sijuwi nitamuambia nini kanjibai. Baada ya mvua nyingi naona pametulia kidogo na pilika za kuusaka mkate wa siku zinaendelea.

Karibuni.
 
kinachoendelea hapa geto kwangu, nmemla demu baada ya kuznguana na mshikaji wake.
 

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…