Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Believe you can, and you're halfway there. ~Theodore Roosevelt
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupata topiki au nyuzi za kusaidia hilo, NENDA JUKWAA LA UCHUMI shenzi weweeee...!!! Unataka kila jukwaa kujae uchumi tu?Mkuu hii inasaidia vipi kuhusu kuporomoka kwa thamani ya shilingi yetu dhidi ya US dolar na sarafu nyingine za kigeni?
hivi huyu Wilson Kaigarula alipotelea wapi?Wilson Kaigarula alikuwa na column yake nafikiri Sunday News inaitwa "With A Light Touch".
Nilisema hiki Kiingereza piga ua galagaza ni lazima nikijue tu, hata kama nasoma kwa kuangalia kamusi pembeni, lakini sitaki anachoandika huyu bwana kinipite.
Nikakomaa naye mpaka nimekiweza kwa kiasi changu.
Ukiona Kiranga ana Kiingereza kigumu (kama wanavyosema wengine, ingawa ni cha kawaida sana)ujue safari ilianza muda mrefu tangu enzi za kusoma kina Wilson Kaigarula.
RIP.
Acha kumzodoa mwenzako hapa tunaelimishana na kupeana burudani.Mambo ya kuporomoka dola dhidi ya shillingi waachie benki kuu na wachumi.Mkuu hii inasaidia vipi kuhusu kuporomoka kwa thamani ya shilingi yetu dhidi ya US dolar na sarafu nyingine za kigeni?
sio la kijinga tu kaandika la ki??????ngeIngekuwa kaandika uzi huu kwenye jukwaa la mambo ya uchumi, swali lako lingekuwa valid. Lakini huku liliko, Swali lako linaonekana la kijinga tu
Umenikumbusha mbali sana...I have a copy in my libraryNenda muhibu wangu nitakukumbuka milele. C.G.Mung'ong'o katika mirathi ya yatari.
Wilson Kaigarula alifariki mwaka 2022.hivi huyu Wilson Kaigarula alipotelea wapi?
Nilikuwa namsoma kwenye sunday news miaka ya 1982 nikiwa form four n ilikuwa simuelewi ila nakuwa na dictionary pembeni.
Ila nashukuru ndio alijenga kingereza changu
Ila alini affect kitu kimoja
Kujua lugha sio kujua misamiati ya maneno bali ni kujua jinsi ya kujua jinsi ya kuiunganisha kupata sentensi.
Kuna grammar english na bombastic english mtu akiongea bombastic unaweza muona wa maana sana ila ki ukweli sio waingereza wenyewe wa London wanaongea grammar english
Hili sio jukwaa la Uchumi hili swali ungelipeleka kule usimkatishe tamaa mtoa madaMkuu hii inasaidia vipi kuhusu kuporomoka kwa thamani ya shilingi yetu dhidi ya US dolar na sarafu nyingine za kigeni?
Nitumie hii softcopy mkuu"Failure is a blessing in disguise" - The Laws of Success, Dr. Napoleon Hill.
👇👇👇Nitumie hii softcopy mkuu
Ukikimaliza, uende kwenye 'hoteli" nzuri ukajipongeze kwa "mlo" mzuri!Blessed mkuu.
Ngoja nikianze sasa
Kwa nini mkuuUkikimaliza, uende kwenye 'hoteli" nzuri ukajipongeze kwa "mlo" mzuri!
1. Ni kizuri.Kwa nini mkuu