Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
^You can beat 40 scholars with one fact, but you can't beat one idiot with 40 facts.^ ~Rumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
,, Dunia uwanja wa fujo.Kuna fujo za aina nyingi kisiasa na kiimani.YESU alikuja na fujo zake kutuletea neno la MUNGU tuongoke.Waasisi wa Mataifa duniani walikuja na fujo zao hadi nchi zao kupata uhuru''............
E Kezilahabi RIP Mzee wa kitabu kingine kiliitwa Kaptura la Max ambacho kilikukimbiza nchini maana kiligusa utawala wa mtu flani
The end define the meansWadau hamjamboni nyote?
Uzi huu unakusudia kuwaenzi Waandishi wetu wakongwe na wanaoheshimika wa ndani na nje ya nchi.
Hivyo unachotakiwa ni kuweka msemo/ nukuu moja, jina la Mwandishi , Kitabu na tafsiri ya msemo/ nukuu husika.
Mungu aendelee kuwapa pumziko la Amani Waandishi waliotangulia mbele za haki.
Karibuni
Busara kubwa kichwani haina faida kama moyoni hamna chembe ya wema - Adili na Nduguze, Shaban Robert