Uzi maalumu kuweka matokeo na msimamo wa Ligi Kuu Tanzania bara

Uzi maalumu kuweka matokeo na msimamo wa Ligi Kuu Tanzania bara

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Naomba uzi huu tupeane matokeo ya ligi kuu pamoja na msimamo ulivyo kadri siku zinavyokwenda.

Hapa jukwaani matokeo ya mechi za Simba na Yanga huwa yanakuwa mubashara lakini mechi nyingine inakuwa tabu kufahamu matokeo na msimamo wa ligi.

Karibu tupeane taarifa.
 
Matokeo ya mzunguko wa kwanza:

Screenshot_20220822-014106.jpg


Matokeo ya mzunguko wa pili:

Screenshot_20220822-014121.jpg


Msimamo mpaka Sasa:

Screenshot_20220822-014225.jpg
 
Back
Top Bottom