Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo wimbo umeimbwa na kwaya kuu Moravian mbeya, unaitwa maisha nisawa na mauaNatafuta nyimbo moja walikua wanaimba hivi
" mimi nikijiona nikama sitakufa kumbe najidanganya maisha sio kitu mali zangu zote watachezea wengine"
Nakumbuka tuu hivyo vipande Ila kwaya nime isahau naomba hii nyimbo
Hilo ndio jina la wimbojehova nissi
Hao ni kinondoni revival albam yao ya kwanza ya samwel"Kwa nini wataka kujiua wewe
Inavyoonesha, umeshakata tamaa. ..
Sikumbuki unavyoendelea wala waimbaji mwee
New life band naweza kusema ndio waasisi wa mapambio mengi sana ambayo ndio yanaimbwa hadi hivi leo, sijui lile kundi lilikuja kuwaje au biashara ya magari ya mchanga na shule viliwazidiaUmeuliza kuhusu Sedekia na RHM, ni kwamba Sedekia alishaimba na New Life Band, kama unawajua hawa vijana na band yao.
Ila Tanzania nzima walikuwa wanarekodi RHM.
Sidhani kama itatokea tena Gospel band kama NLB Tanzania
Na sio Sedekia tu ila pia kuna Upendo Kilahiro na Beatrice Muhone.
NLB Walitunga mapambio kama:-
- Iende mbelee injili hiyoo...iende mbeleee
- Ainuliwe Mungu wetu leooo...ainuliwe bwana wa mabwana
- Mji ulee una meremeta umepambwa mauaaa
Unakumbuka?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Waimbaji wa kileo wengi wanajua kuvaa vimini na kuimba flat chord kama wamarekani 🚮🚮Waliimba toka rohoni kabisa, wakifunikwa na Roho Mtakatifu,
Kilimanjaro revival kwa askofu Lazaro..? Nimesali hapo miaka mitatu yule baba MUNGU ambariki sana ndiye aliye wapika kina pastor Naomi ambaye alikua rombo labda kama amerudi paleHawa wana nyimbo hatari sana,wananukuu maandiko sana alafu wana upako mpaka unaona Mbingu zimeshuka loh!
Audio ninazo kasoro original ya Shauri yako, ambayo ndo naitafutaWakuu poleni na majukumu…..kuna hii albamu ya kijitonyama choir kabla hawajagawanyika ina nyimbo kama….
1. namtafuta bwana
2. anipenda bwana yesu
3. masia wanyi
4. simba wa yuda
5. shauri yako
6. hakuna mungu kama wewe na
7. bwana ndiye mchungaji wangu
Je naweza pata nyimbo za hii album? kipindi hicho zilikuwa katika mfumo wa kwenye tape….Sina uhakika kama zinapatikana katika mfumo wa kisasa but nazitafuta sana bila mafanikio na bado nina shida nazo sana…...msaada plz
Hiyo iliimbwa na eben ezer kwaya kutoka pale t.a.g mbagala kizuan kwa makamu askofu mkuu wa t.a.g dr magnus muhicheHaha old is gold
Kuna wimbo najitahidi kuukumbuka hapa, unanigomea. Nakumbuka tu sehemu hii kidogo, ni story ya mwanamke Msamaria
"Basi yule mwanamke Msamaria akamwambia
Imekuwaje wewe Myahudi kutaka maji kwa Msamaria
Maana Wayahudi hawachangamani na Wasamaria"
Shukrani sana mkuuHiyo iliimbwa na eben ezer kwaya kutoka pale t.a.g mbagala kizuan kwa makamu askofu mkuu wa t.a.g dr magnus muhiche