Uzi maalumu kwa ajili ya jobless na watu wenye michongo ya pesa

Uzi maalumu kwa ajili ya jobless na watu wenye michongo ya pesa

contask

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2021
Posts
780
Reaction score
1,579
Habari wakuu.

iKiwa juma tatu tulivu na yenye majonzi kwa ndugu zetu watanzania waliopata maafa ya kuangukiwa na kifusi, Mungu azidi kutia wepesi katika ukozi wa ndugu zetu waliopo chini ya kifusi

NImefunguu uzi huu ikiwa ni moja kwa moja katika jitihada za kupeana michongo kwa vijana,wafanya biashara na pia na wahitimu wavyuo vikuu(jobless) pia na watu ambao ni multipurpose kwenye michongo ya pesa katika kujikwamua kichumi.

MImi ni kijana ambae najishugulisha kwa uuzaji wa simu used na mpya kutoka nje yaani dubai,uk,Japan kwa bei ya jumla na rejareja

Brand za simu hizo ni kama Samsung galaxy, vivo, oppo, aquos, redmi,huawei, google pixel na nyingine nyingi

Nimefungua huu uzi kwa leo la kuwaunganisha vijana wenzangu ambao bado tunajitafuta kiuchumi, ikiwa lengo kuu ni kuuza simu katika maeno yote ndani ya nchi

kwa wakati huo nitakua nawauzia simu kwa bei ya jumla na nitawapa acccess ya dukani kwa kuweza kuchukua simu hizo hizo either kwa kumleta mteja akamuuzia kwa bei yake au yeye mwenyewe akachukua kwa matumizi yake

Mtaji wako ni bundle tu na communication skills na networking katika kufikia lengo

Bei ni kuanzia 90,000 nakuendelea

Mfano wa simu hizo

Samsung note 20 utra bei ya jumla ni 460,000 ,s10 plus ni 350,000 s10 plain ni 320,000 na zingine nyingi

Nitankuunganisha kwenye community group ambalo nitakua natuma bei za simu,

Ukimleta mteja atahudumiwa kwa bei ambayo mumekubaliana na hela yako utatumiwa hapo hapo

ahsante.

IMG-20241110-WA0015.jpg
IMG-20241118-WA0013.jpg
IMG-20241118-WA0009.jpg
IMG-20241113-WA0030.jpg
IMG-20241113-WA0031.jpg
IMG-20241118-WA0008.jpg
IMG-20241117-WA0018.jpg
IMG-20241113-WA0004.jpg
 
Habari wakuu.

iKiwa juma tatu tulivu na yenye majonzi kwa ndugu zetu watanzania waliopata maafa ya kuangukiwa na kifusi, Mungu azidi kutia wepesi katika ukozi wa ndugu zetu waliopo chini ya kifusi

NImefunguu uzi huu ikiwa ni moja kwa moja katika jitihada za kupeana michongo kwa vijana,wafanya biashara na pia na wahitimu wavyuo vikuu(jobless) pia na watu ambao ni multipurpose kwenye michongo ya pesa katika kujikwamua kichumi.

MImi ni kijana ambae najishugulisha kwa uuzaji wa simu used na mpya kutoka nje yaani dubai,uk,Japan kwa bei ya jumla na rejareja

Brand za simu hizo ni kama Samsung galaxy, vivo, oppo, aquos, redmi,huawei, google pixel na nyingine nyingi

Nimefungua huu uzi kwa leo la kuwaunganisha vijana wenzangu ambao bado tunajitafuta kiuchumi, ikiwa lengo kuu ni kuuza simu katika maeno yote ndani ya nchi

kwa wakati huo nitakua nawauzia simu kwa bei ya jumla na nitawapa acccess ya dukani kwa kuweza kuchukua simu hizo hizo either kwa kumleta mteja akamuuzia kwa bei yake au yeye mwenyewe akachukua kwa matumizi yake

Mtaji wako ni bundle tu na communication skills na networking katika kufikia lengo

Bei ni kuanzia 90,000 nakuendelea

Mfano wa simu hizo

Samsung note 20 utra bei ya jumla ni 460,000 ,s10 plus ni 350,000 s10 plain ni 320,000 na zingine nyingi

Nitankuunganisha kwenye community group ambalo nitakua natuma bei za simu,

Ukimleta mteja atahudumiwa kwa bei ambayo mumekubaliana na hela yako utatumiwa hapo hapo

ahsante.

View attachment 3155253View attachment 3155254View attachment 3155255View attachment 3155256View attachment 3155257View attachment 3155258View attachment 3155259View attachment 3155260
Mbona hujaweka namba ya simu?
 
Back
Top Bottom