Uzi maalumu kwa ajili ya jobless na watu wenye michongo ya pesa

Mkuu em weka picha za simu kuanzia 90k mpaka 250k nizione. Nina uhitaji wa simu
 
Duh hongera mleta mada hii biashara inaonekana ukiiweka vizuri unapata faida.

Ila kwa mimi nilikua nahitaji eneo la cafe ambao lina vifaa zaidi ambavyo naweza kukodisha kwaajili ya uuzaji wa viazi na sharubati na bites tofauti tofauti.
 

Attachments

  • IMG-20241119-WA0004.jpg
    39.3 KB · Views: 6
  • IMG-20241119-WA0025.jpg
    52.4 KB · Views: 6
  • IMG-20241119-WA0026.jpg
    80 KB · Views: 4
  • IMG-20241118-WA0027.jpg
    129.7 KB · Views: 5
  • IMG-20241113-WA0004.jpg
    44.1 KB · Views: 6
  • IMG-20241114-WA0014(1).jpg
    280 KB · Views: 6
  • IMG-20241117-WA0007.jpg
    237.4 KB · Views: 7
  • IMG-20241116-WA0058.jpg
    74.8 KB · Views: 4
  • IMG-20241116-WA0045.jpg
    211.6 KB · Views: 7
  • IMG-20241115-WA0008.jpg
    190.6 KB · Views: 7
Weka namba ya simu tukuungishe simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…