Uzi maalumu kwa ajili ya kujifunza namna ya kutengeneza Android Apps

Habari WAKUU
Samahani wakuu , naomba msaada wenu nikitaka kuwa app developer nifanyeje kujifunza kutengeneza my own app au kuziboresha nyingine
 
Habari WAKUU
Samahani wakuu , naomba msaada wenu nikitaka kuwa app developer nifanyeje kujifunza kutengeneza my own app au kuziboresha nyingine
Kama wewe ni mgeni kwenye Industry ya programming basi, unatakiwa uanze kujifunza masuala ya programming,
Na ili uweze kujifunza programming utahitaji kuzijua programming languages, hizi ndizo zitakazo kuwezesha wewe kujifunza namna ya kutengeneza app.

Kwa upande wa kutengeneza hizo app,zipo programming languages nyingi zinazotumika kutengeneza app zikiwemo Swift,Java,Kotlin,Pytho n.k

Ila the most popular programming language kwa ajili ya kutengeneza android apps ni JAVA.

Na inayotumika kutengeneza ios app( app zinazorun kwenye simu za iphone) ni SWIFT.

Kwahiyo ingia kwenye ulimwengu wa programming ili uweze kuyajua hayo yote.
Laikin kumbuka huko siyo rahisi inahitaji commitment!!
 
Mwalimu nina shida na source code za app ya android media player, hususan audio. Kama zipo please naziomba. Thanks.
Jifunze programming acha uvivu,
Ukatengeneza kitu kwa mikono yako kinakuwa pure! Na rahisi kuweza kukimantain.

Take time learn how to code your own app.
 
Jifunze programming acha uvivu,
Ukatengeneza kitu kwa mikono yako kinakuwa pure! Na rahisi kuweza kukimantain.

Take time learn how to code your own app.
Sio swala jepesi mkuu

Codes lazima utenge muda
 
Sio swala jepesi mkuu

Codes lazima utenge muda
Naamini anaweza ni kazi rahisi. Kikubwa muda tu. Si kazi ngumu kabisa ni Nyepesi sana, inayohitaji muda mwingi.

Hivyo anaweza akitenga muda
 
Ni pasua kichwa aisee mpaka sasa App ya Hello world tu ni mtihani mzito
 
Wakat unafanya kuandaa app.. Lazma Pc iwe connected kwenye internet ?
 
hiyo ni nzuri sema kama mtu anataka ajifunze ili kutengeneza apps ambazo zipo very challenging (ikiwemo na game development) narecommend ajifunze flutter,react and if necessary kotlin
 
Wakat unafanya kuandaa app.. Lazma Pc iwe connected kwenye internet ?
inategemeana unataka kutengeneza apps gani, kama unatengeneza apps za online lazima udeal na API ambazo ukiwa offline itakuwa impossible. but kama unatengeneza apps za kawaida kama camera apps, music player, notepad app.. itakuwa haina shida ukiewa offline
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…