UZi MAALUMU kwa ajili ya kusalimiana kwa lugha za makabila yetu

UZi MAALUMU kwa ajili ya kusalimiana kwa lugha za makabila yetu

Valangi vooosi yendi nakunu, mmware uuu? Amu si mwosaka Lumbya vantu,mwatite tabia che?Aka jamani.
 
Nianze na kabila langu kubwa la wasukuma

"mwangaroka bhadugu bhane"
"Yani habari zenu ndugu zangu"

Tuendeleze Sasa makabila mengine kwa salamu....
Ukingani, kwetu makete ,, tunasema, mapembelo, wanaitika bhabhene
 
Sio kwa ile midako alafu wale watoto wa kinyak ni mabrave kichizi darasani pia ni social sijawah mtu WA mbeya mnyonge mnyonge namm spendag watu wanyonge wanyonge
Mada umeleta wewe halafu wewe mwenyewe unaihamisha...
 
Nianze na kabila langu kubwa la wasukuma

"mwangaroka bhadugu bhane"
"Yani habari zenu ndugu zangu"

Tuendeleze Sasa makabila mengine kwa salamu....
Ukabila peleka huko kwenu burundi hapa kwetu Tz hatuna habari hizo. Sisi ni wamoja Tanzanian for life and swahili ndo lugha yetu.
 
Back
Top Bottom