- Thread starter
- #61
Tolechiza ghete tolelya manumbu na mbute dhoho enaha bonekaga bhageshi!
Delo bhabha, odelile mhola ahene bhageshi....?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Delo bhabha, odelile mhola ahene bhageshi....?
Obheja sana bhageshi!Tolechiza ghete tolelya manumbu na mbute dhoho enaha bonekaga bhageshi!
😂😂😂Songela🙏Nakuongeza kwenye orodha yangu ya "WASUMBATI"View attachment 3129986
Nzizaa du,ukole pili?Ompanga ne gyule, mpola za ntondo
Misaa,solowenyu..Agwe ulimgogo wa kwi?Mihanyeni..
Loli mkamanya kujobha kanunu,mkulile kumbwani bule?Tununu Kalumbu....umpira ghumalike mwee
Ukingani, kwetu makete ,, tunasema, mapembelo, wanaitika bhabheneNianze na kabila langu kubwa la wasukuma
"mwangaroka bhadugu bhane"
"Yani habari zenu ndugu zangu"
Tuendeleze Sasa makabila mengine kwa salamu....
Mada umeleta wewe halafu wewe mwenyewe unaihamisha...Sio kwa ile midako alafu wale watoto wa kinyak ni mabrave kichizi darasani pia ni social sijawah mtu WA mbeya mnyonge mnyonge namm spendag watu wanyonge wanyonge
Kilugha cha wapi hiki hapa nchiniassalam alaykum - maana yake:Amani iwe juu yenu
Kiarabu hichoKilugha cha wapi hiki hapa nchini
Ukabila peleka huko kwenu burundi hapa kwetu Tz hatuna habari hizo. Sisi ni wamoja Tanzanian for life and swahili ndo lugha yetu.Nianze na kabila langu kubwa la wasukuma
"mwangaroka bhadugu bhane"
"Yani habari zenu ndugu zangu"
Tuendeleze Sasa makabila mengine kwa salamu....
AnhaaKiarabu hicho
Hakika..Anhaa
Kwahiyo ni Kilugha cha kwao waarabu
Ane sio mgogo..ninga nimanyile chigogo cha kinyausiMisaa,solowenyu..Agwe ulimgogo wa kwi?