Kweli baharia.. Mimi ni baharia wa INCHI kavu na sasa ni baharia kamili wa MAJIKweli hapa si sehemu salama Unaweza ukawekwa uchi mbele ya soko.
Kama anataka story za kuzamia kuna vijiwe au maskani kuna watu wana mbinu zote.
Safi sana mkuuKweli baharia.. Mimi ni baharia wa INCHI kavu na sasa ni baharia kamili wa MAJI
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanataka kutuchukulia maelezo mabaharia kesho tuyakute FACEBOOK...Safi sana mkuu
Saizi hakuna uzamiaji wa kizamani, watu wanatumia mbinu za kisasa na wana documents zote.Wanataka kutuchukulia maelezo mabaharia kesho tuyakute FACEBOOK...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinondoni, Magomeni Mikumi huko utapata waliozamia na watakupa story zote.Wapi huko,baharia mwenzangu?...kama umewahizamia kiwanja tupe experience yako mkuu.
Kweli mkuu lakini HISTORY INAKUWA HAISAHAULIKISaizi hakuna uzamiaji wa kizamani, watu wanatumia mbinu za kisasa na wana documents zote.
Safi sana mkuu baharia,ulitumia mbinu gani kufanikisha.Kweli baharia.. Mimi ni baharia wa INCHI kavu na sasa ni baharia kamili wa MAJI
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu sio hivyo...ni katika harakati za kuelimishana,kuburudishanaKweli baharia.. Mimi ni baharia wa INCHI kavu na sasa ni baharia kamili wa MAJI
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali tupe hiyo mkuu...tuelimike,maana Mimi Niko mbali sana na dar mikoani huku porini ndani ndani.Kinondoni, Magomeni Mikumi huko utapata waliozamia na watakupa story zote.
Ningeweka story ya baharia mmoja, kipindi cha nyuma sana. Kama mtu wa story nenda Mitaa ya Kijitonyama pale Karibu na Ngalawa Pub kamtafute Mzee anaitwa Babu Jane(Journey) wewe mpe ela ya maji au mtoe ofa.Atakupa story zote walivyozamia long time na changamoto mpaka alivyorudi kajenga hapo na kumiliki daladala mjini.