NYEKUNDU YA BIBI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 2,301
- 2,977
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi naanza na huu ugonjwa corona kumbe niugonjwa uwapatao watu wenye vigugumizi na wanyemakunyazi kichwani kama mganga aliewatapeli familia ya mzee mwenzetu mmoja hivi humu mzee Carlos The Jackal
Pili
Ni ugonjwa wa matajiri tu wee kama masikini endelea kula na kunywa chubuku kama ukianza tu kunywa balimi kama kaka mshana umekwisha ,
Tatu.
Mwakacorona amezaliwa huku mbeya wanyakyusa tayari wamempata mtoto wa corona ko kazi imekwisha huku mbeya ni kula bata tu kwenda mbele.
Nne
Huu Uzi ni taarifa za uzushi na uongo kama unazo taarifa za uongo ziwekwe humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pili
Ni ugonjwa wa matajiri tu wee kama masikini endelea kula na kunywa chubuku kama ukianza tu kunywa balimi kama kaka mshana umekwisha ,
Tatu.
Mwakacorona amezaliwa huku mbeya wanyakyusa tayari wamempata mtoto wa corona ko kazi imekwisha huku mbeya ni kula bata tu kwenda mbele.
Nne
Huu Uzi ni taarifa za uzushi na uongo kama unazo taarifa za uongo ziwekwe humu
Sent using Jamii Forums mobile app