Uzi Maalumu kwa Wahenga wa JamiiForums

Nawakumbuka akina:

WomanofSubstance (jirani wa ukweli huyu na mtu mmoja poa sana) Mwafrika wa Kike, Kiranga, Mbu, Nyamayao, Mwanajamii One, Firstlady1, Fixed Point (MSULI) na wengineo wengi ambao walikuwa watu muhimu sana kwa michango yao ambayo illifanya Jamii Forums ipendwe sana na Watanzania ndani na nje ya nchi hata kwa majirani zetu wa Kenya na sasa kuwa tishio kubwa kwa Serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…