mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Huu ni Uzi maalumu wa kila mwanajamvi anaetaka lockdown
Maana wengi humu tuna taka lockdown na tumefikia hatua za kusema kuwa "Mimi na familia yangu tumejiweka lockdown"
Naomba ushere na wana JF juu ya lockdown na nini unachokifanya huko lockdown
Naanza na Mimi
Leo nimeamshwa na wife twende kansani misa ya kwanza nikamwambia mm siendi kukusanyika naogopa Covid19
Kumbe ni uvivu + kamchepuko ambacho ni mpangaji mwenzetu
Vipi kwako?
Maana wengi humu tuna taka lockdown na tumefikia hatua za kusema kuwa "Mimi na familia yangu tumejiweka lockdown"
Naomba ushere na wana JF juu ya lockdown na nini unachokifanya huko lockdown
Naanza na Mimi
Leo nimeamshwa na wife twende kansani misa ya kwanza nikamwambia mm siendi kukusanyika naogopa Covid19
Kumbe ni uvivu + kamchepuko ambacho ni mpangaji mwenzetu
Vipi kwako?