Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 825
- 1,074
Hello! Wana JF natumai mko poa,Husika na kichwa cha habari hapo juu kuwa huu ni zi maalumu kwa wale ambao wametoka sehemu fulani kwa kujifunza kitu kikubwa katika maisha(Hususani misiba).
Zipo faida nyingi sana za kuhudhuria katika misiba ikiwa pamoja na kwenda kufariji wafiwa n.K
*Binafsi yangu nimehudhuria msiba wa mtu ambaye kiukweli simfahamu (Hii ilikuwa baada ya kutoka msikitini swala ya adhuri) na nikaongozana na umati mkubwa uliokuwa umeingia hapo msikitini. Kwa mara ya kwanza nimejikuta nikilia katika msiba (huo) wa mtu ambaye simfahamu na sijawahi kuonana nae ila inavyosemekana ni dogo tu ambae amefariki akiwa form two,vitu kama sifa zake njema ziliosababisha ule umati kuwepo pale,mawaidha ya yule sheikh nimejikuta nikilia na kuhuzunika ndani ya nafsi yangu huku nikijifunza mengi sana kupitia ule msiba.
Hali hii imeshawahi kukukuta? je umewahi kujifunza nini baada ya kuhudhuria msibani? uwe wa ndugu au wa mtu usiyemfahamu
Zipo faida nyingi sana za kuhudhuria katika misiba ikiwa pamoja na kwenda kufariji wafiwa n.K
*Binafsi yangu nimehudhuria msiba wa mtu ambaye kiukweli simfahamu (Hii ilikuwa baada ya kutoka msikitini swala ya adhuri) na nikaongozana na umati mkubwa uliokuwa umeingia hapo msikitini. Kwa mara ya kwanza nimejikuta nikilia katika msiba (huo) wa mtu ambaye simfahamu na sijawahi kuonana nae ila inavyosemekana ni dogo tu ambae amefariki akiwa form two,vitu kama sifa zake njema ziliosababisha ule umati kuwepo pale,mawaidha ya yule sheikh nimejikuta nikilia na kuhuzunika ndani ya nafsi yangu huku nikijifunza mengi sana kupitia ule msiba.
Hali hii imeshawahi kukukuta? je umewahi kujifunza nini baada ya kuhudhuria msibani? uwe wa ndugu au wa mtu usiyemfahamu