Uzi maalumu kwa wale waliowahi kupigwa ban JF

Uzi maalumu kwa wale waliowahi kupigwa ban JF

Kuna mtu anaitwa Kimberly alinisababishiaga ban moja takatifu!sisahau kaah!

Hujasahau tu? Kipindi kile mambo yalikuwa motrooooo.
Bila shaka ni yale mambo ya Diamond vs Ali Kiba [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi sijui nitapigwaje ban,sioni namna kabisaaaaaa.
 
Hujasahau tu? Kipindi kile mambo yalikuwa motrooooo.
Bila shaka ni yale mambo ya Diamond vs Ali Kiba [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi sijui nitapigwaje ban,sioni namna kabisaaaaaa.
Cheupe hujawahi pigwa ban najua Mzee kichwa The bold anapigwa Mara Mara
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kaushaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Walinipiga ban ya week nkatengeneza ID nyingine nkapigwa ban siku 20 nkatengeneza ID nyingine na hii nlipigwa ban ya sku 16 ila nkavumlia ile narudi nkapigwa ban ya sku mbl ila nmevumlia
 
Sijawahi kupigwa ban hata siku moja. Nahisi ni kutokana na kuwa na busara sana
 
Nilipigwa ya wiki.
Sikumbuki vizuri maana nilikuaga busy na mambo yangu,so hata sikunotice kitu chochote!
 
Nilipotoka Kenya talk nikaja Tanzania na moto wa kumfagilia moderator wa kule anayeitwa The Tweet, kilichotokea.... ngoja kwanza ninywe uji nitakuja kumalizia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe wewe
Hujambo
 
Back
Top Bottom