Uzi maalumu kwa wanaotaka kuacha shule na kupambana mtaani

Uzi maalumu kwa wanaotaka kuacha shule na kupambana mtaani

Kama unalipa ada usome kisha uanze kuhangaika na vyeti kuomba kuajiriwa nakushauri hiyo pesa anza kuifanyia biashara sasa hivi.

Kama unasoma ili ujiajiri pambana mkuu utafanikiwa.
 
Hellow, shime wana JF naimani mko wazima wa afya, akili na mwili.

Back to the topic, wakati mwingine shule inaweza kua chanzo Cha kuchekewesha maendeleo ya watu, Tukizingatia elimu yetu asilimia 80 inawaandaa graduates kua job seekers and not opportunity seekers.

Now days ni kawaida kumwambia graduates aliesomea kuendesha ndege ajiajiri, sasa cjui akanunue ndege yake.

Kwa wale wenye mawazo ya kuacha shule, njooni uku tupeane morali, tunaweza kua akina Bill Gates wa kesho.

Uzi tayar.
Sawa unaacha shule unaendelea kukaa kwa baba ako na mama ako au na kwenu unahama?
 
Walioacha shule niwapi? maana hata mwenye degree kaacha kuendelea na masters, madokta wameacha kuutafuta uprof,maprof wameacha shule ya kifaransa,kichina etc.
 
Mtoa mada nakupa big up, only courageous people will support you kwa kuwa wengi waoga .kama una malengo mahususi nothing is impossible.lakini pia watu wengi humu hawajui hata chimbiko la neno education .

To support your idea find a book called "WHY AN A STUDENT WORK FOR C STUDENT" and think and grow rich then read chapter concerning knowledge,you will be much motivated .kila khareri mkuu. By unknown
 
Walioacha shule niwapi? maana hata mwenye degree kaacha kuendelea na masters,madokta wameacha kuutafuta uprof,maprof wameacha shule ya kifaransa,kichina etc.
Mkuu hata definition ya kuacha shule nayo mgogoro? Sasa ulifikaje fikaje humu? [emoji23]
 
Kwenye Maisha hakuna kuchelewa wala kuwahi.
Kama uko shule na hamna shida ya ada you better stick to it Young Man..Soma soma soma afu soma tena then ukimaliza utaukuta mtaa umejaa tele na opportunities zipo kibao.
 
Eti tunaweza kua akina Bill Gates wa kesho....Endelea kujidanganya!

Mungu alishapanga kila kitu kuhusu wewe, hakuna wa kubadilisha.
Angalia hili jinga nalo! siyo kuwa km BIll gate tu! mawazo yako yamefika ukingoni!! unge fikiria kuwa zaidi ya huyo tena mnooo! yaani ungekuwakribu ningekupiga risasi kenge weeee!
 
Sometimes ni vema ukaficha UJINGA, kwa kukaa kimya. Alah!!!
Hili jamaa jinga sana, kweli nimeamini kuna majinga lukuki humu! sawa na ri shemeji langu eti liliniambia kupata kazi nisitegemee kuishi dsm!!! ni pagumu! nikae mkoani,

Mwee! hkn post ya kwanza nilikuwa nimejaa Posta nikalikomesha! siku hizi linanikwepa likiniona!
 
Eti tunaweza kua akina Bill Gates wa kesho....Endelea kujidanganya!

Mungu alishapanga kila kitu kuhusu wewe, hakuna wa kubadilisha.
Kwahiyo Mungu alimpangia Bakhresa awe tajiri na mzee mudi awe ombaomba?

Huyo Mungu kweli mbaguzi.

Alikuumba ili aje kukutesa na umaskini.

#YNWA
 
[emoji16][emoji16]

Its 2024 nimeuona huu uzi nilianzisha 5 years back. Nikitulia ntaleta mrejesho hapa.
 
Back
Top Bottom