Kwa wale wote Wasio amini dini kama Mimi watoe sababu humu...
Naanza na Mimi
"Dini zote zpo kimaslahi(Pesa)
Michango kila kukicha utanzani Vicoba...au Mojabet
Nawasilisha Maono yangu....
Tafadhali Usinihukumu kwa Maono yangu..Tupia Maono yako kila MTU atazame mtazamo wako...
Imani ni nini?
nikupe pole Chief.Imani(Faith)- It's Believe For Nothing
Nothing...Hata bila Dini ungeweza kumjua na kumtumikia mungu..Dini yangu imenisaidia kumjua, kumwamini na kumtegemea Mungu, na sasa namtumikia kwa nguvu na akili zangu zote hata nitakapokufa, amen
Uko peke yako, unasubiri maoni ya nani tena?Nawait your Opinion