Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Hii ni sehemu maalumu kwa wale wote wasiokuwa na mpango wa kuoa na kuolewa. Tupia Likes, Comments kuhusiana na uamuzi huu mgumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna vigezo?Mdada asiyehitaji kuolewa ila anahitaji supreme physical and cognitive genes awahi PM. 95% ya malezi ya mtoto juu yangu.
PS: Wahi sasa; nafasi ni chache mno[emoji16]
Nikitaja vigezo watafake. Kimya Kimya tu unaona nani anafaa, nani hajakidhi vigezo.Huna vigezo?
Tupo pamoja kiongozi,Usajili wangu humu umekamilika rasmi,
Ntakuwa nakipiga namba 7, 8 au 9.
Yani winger machachari mleta crossi za hatari, kiungo mshambuliaji apo kwenye passi za assist sikosi na pia ukipenda mshambuliaji hodari, ukileta inaingizwa.
Shukrani sana kocha wetu Frumence M Kyauke
Mwanzisha uzi mwenyewe si ajabu kaoa...kwa iyo cheza chini mkuu. Kubaliana na hali yako.Mtakuja kuoa tu, ni suala la muda.
Mimi ni mtu ambaye niko wazi katika mambo yangu, kifupi mpaka sasa sijaonaMwanzisha uzi mwenyewe si ajabu kaoa...kwa iyo cheza chini mkuu. Kubaliana na hali yako.
Itabidi hawa watu wapate elimu hii huenda ikawasaidiaHii ni sehemu maalumu kwa wale wote wasiokuwa na mpango wa kuoa na kuolewa. Tupia Likes, Comments kuhusiana na uamuzi huu mgumu.
www.jamiiforums.com