Uzi maalumu kwa wasiotaka kuoa wala kuolewa

Uzi maalumu kwa wasiotaka kuoa wala kuolewa

Usajili wangu humu umekamilika rasmi,

Ntakuwa nakipiga namba 7, 8 au 9.
Yani winger machachari mleta crossi za hatari, kiungo mshambuliaji apo kwenye passi za assist sikosi na pia ukipenda mshambuliaji hodari, ukileta inaingizwa.

Shukrani sana kocha wetu Frumence M Kyauke
 
Jamani mie natafuta mwanamke wa kunizalia mtoto. Nitamtunza mama na mtoto. Pm if interested ila ujue no ndoa
 
Hii ni sehemu maalumu kwa wale wote wasiokuwa na mpango wa kuoa na kuolewa. Tupia Likes, Comments kuhusiana na uamuzi huu mgumu.
Itabidi hawa watu wapate elimu hii huenda ikawasaidia
 
Back
Top Bottom