Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Bwege wee , jichanganye uishie kupostiwa na mishumaa π€£ πView attachment 3265872
Mzigo huo hapo hiyo mwaka jana ila leo naweza pima tena nna mali safi nataka niipime vipimo vyote adi oil
Jichanganye uishie kupostiwa na mishumaa π€£Atapokelewa kwa heshima zoteee na taadhima yoteee.
Kwaio natishiwa pia ndio umeninyima Jimbo?Jichanganye uishie kupostiwa na mishumaa π€£
Zinaendana na dalili za TBKupata joto sana, haswa nyakati za usiku
Kichwa kuuma kidogo kidogo japo mara kwa mara
Kukohoa kikohozi kikavu pia kinazidi nyakati za usiku
Homa za mara kwa mara
Kupungua uzito
Kuna mda nywere zinakuwa kama umewekea dawa zile za wanawake (ukizishika tu unahisi, huhitaji kuambiwa)....
We kamle mwenyeweπKwaio natishiwa pia ndio umeninyima Jimbo?
Vitu vizuri kula na nduguzoπ
Ntamtolea wap ikiwa hata mawasiliano (ma communication) umegoma kunipatia πππWe kamle mwenyeweπ
Dah!!πKuna mda nywere zinakuwa kama umewekea dawa zile za wanawake (ukizishika tu unahisi, huhitaji kuambiwa)....
Tumia dawa wewe mwamposa asikudanganye na maji yake mabega yatapanda juu muda siyo mrefuUkimwi ni myth haupo
Huu utaratibu upo mpaka leo makanisa ya kipentekoste πππ, japo naona sio uungwana au unasemaje Drkipindi naenda kuoa tulichukuliwa na wife na mchungaji tukaenda kupimwa isee ilikua HOFU kwa pande zote mbili Ila majibu yakawa powaa
Lakini ni bora HIV kuliko cancer, kisukari, pressure, figo maana HIV unatakiwa kuzingatia tu dawa na kula matango kwa wingi.Hata yesu alisema "farijianeni kwa maneno hayo" wacha wafarijiane ila kusema kweli HIV ni gonjwa la aibu sana.
Hahahhaa kwa kweli utatujua tuuu, tumekaa pale kwa raha zetu tunawazoom ambao hawajui hali zao hahahUkifuatilia kwa umakini hizi comment humu wenye ngoma utawajua tu
Uzi n mrefu kweli kweli huu.Lakini ni bora HIV kuliko cancer, kisukari, pressure, figo maana HIV unatakiwa kuzingatia tu dawa na kula matango kwa wingi.