Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?

Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.

Twambie wewe mdau ulijisikiaje?

NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.

Akhsante.
Kosakubwa ni wewe kupima huenda hata ukimwi haupo ni ofu tu.
 
Sio uungwana na Mimi sikua nimejipima before aisee tulipima tupo gudi.
Ila inatengeneza taharuki usipime yaani taharuki usipime.
Unaongozana na mchungaji yaan ni convoy
Pastor anajinasibu "najua tupo salama " akidhani sisi wadogo zake yohana mbatizaji 😁😁

BTW mi nilipelekwa na convoy pale levolosi kupimwa wakati nataka kuona hahahaha sisahaugi mpaka kesho
 
Pastor anajinasibu "najua tupo salama " akidhani sisi wadogo zake yohana mbatizaji 😁😁

BTW mi nilipelekwa na convoy pale levolosi kupimwa wakati nataka kuona hahahaha sisahaugi mpaka kesho
Mnaenda nae anatamani aingie kwenye kusomewa majibu mpimaji anakataa anasema pastor asubilie kwa nje..
 
Wengi wanaogopa kupima HIV,mi nimepima mwezi jana na wife,alikuwa ameenda kuanza clinic,kiufupi wote tupo -ve
 
Back
Top Bottom