Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,130
- 6,097
Sio wote wanaopata ni uzinzi,Tuache uzinzi wadau,hii kitu sio nzuri ikikunasa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wote wanaopata ni uzinzi,Tuache uzinzi wadau,hii kitu sio nzuri ikikunasa...
Mtu alie katika hatari kubwa ya kupata VVU ni alie kwenye ndoa, au aliye na mpenzi mmoja mwaminifu.Mzuka wa kwenda Riverside umekata wenyewe, Uzi nyingine hizi 🫤🫤🫤
Hiyo ya kujitunza shuleni na Chuoni. Tafadhari naomba ufafanue kwa upana zaidi Mkuu.Ukiwa kwenye ndoa ni vigumu sana kuukwepa ukimwi mbaya zaidi kama ulikuwa hardcore kwa kujitunza shuleni na vyuoni
Kosakubwa ni wewe kupima huenda hata ukimwi haupo ni ofu tu.Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?
Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.
Twambie wewe mdau ulijisikiaje?
NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.
Akhsante.
Yaani kuruka stage ya ujana kwa kuacha kufanya ngono au kufanya kwa kinga, kwenye ndoa huwezi tumia kinga sasa kama mwenza wako sio muaminifu ni hasara kwako bora ungekula au liwa ujananiHiyo ya kujitunza shuleni na Chuoni. Tafadhari naomba ufafanue kwa upana zaidi Mkuu.
HahhahahaahTunaupitia huu uzi kimya kimya kama mwendo wakuaga maiti. respect Grid
Sio uungwana na Mimi sikua nimejipima before aisee tulipima tupo gudi.Huu utaratibu upo mpaka leo makanisa ya kipentekoste 😀😀😀, japo naona sio uungwana au unasemaje Dr
Mchuchu Niko poa, Nina Mungu halaf Nina wewe ntake nin tenaMchuchu wangu mambo.
love you 😘 😘Mchuchu Niko poa, Nina Mungu halaf Nina wewe ntake nin tena
🥰love you 😘 😘
Pastor anajinasibu "najua tupo salama " akidhani sisi wadogo zake yohana mbatizaji 😁😁Sio uungwana na Mimi sikua nimejipima before aisee tulipima tupo gudi.
Ila inatengeneza taharuki usipime yaani taharuki usipime.
Unaongozana na mchungaji yaan ni convoy
Mnaenda nae anatamani aingie kwenye kusomewa majibu mpimaji anakataa anasema pastor asubilie kwa nje..Pastor anajinasibu "najua tupo salama " akidhani sisi wadogo zake yohana mbatizaji 😁😁
BTW mi nilipelekwa na convoy pale levolosi kupimwa wakati nataka kuona hahahaha sisahaugi mpaka kesho
Sisi vipimo viliwekwa mezani mimi upande huu, wife upande mwingine halafu pastor katikati 😆😆😆, wapentekoste tutafika huko mbinguni tumechakaaMnaenda nae anatamani aingie kwenye kusomewa majibu mpimaji anakataa anasema pastor asubilie kwa nje..
Hata sikio kwa kweliUzi n mrefu kweli kweli huu.
Kiukweli hamna kilichobra iwe ukimwi, cancer, kisukari,pressure, figo...
Kila ugonjwa una changamoto zake..
Jilindeni2
Hapa ni kujilisha upepo.Kosakubwa ni wewe kupima huenda hata ukimwi haupo ni ofu tu.