makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Nimeambiwa Kuna hela umepokea juzi kutoka M23 ya mitaji kwa majobless wafanye biashara ndogo ndogo πHela gani, acha bhangi ewe msemaji wa chama Cha ma jobless pro max
Nimesikia Tena za chini chini kuna hela inakuja kutokea Korea nayo ni kwa ajili ya chama ila mh. Rais umenyamaza kimya πHela gani, acha bhangi ewe msemaji wa chama Cha ma jobless pro max
Haya mki pewa si mta zinywea gongoπ€£πNimeambiwa Kuna hela umepokea juzi kutoka M23 ya mitaji kwa majobless wafanye biashara ndogo ndogo π
Nina mpango wa kuitisha Mkutano wa viongozi tujadili hili
Ko umeamua kuzila pekee ako πHaya mki pewa si mta zinywea gongoπ€£π
Amina kubwa mtumishiSir God your loyal soldier I'm back again, na Kama chipsi mioyo ya ma snitch endelea kuikaanga kwenye flampeni.
Bablai najua ma snitch kibao hawa taki ni exist, but mi niko fresh na na nina amani coz I know my savior una exist.
May you guide mimi, my family na hata washkaji zangu tuendelee ku exist Half american, makutupora min -me Bolotoba Edo kissy Thecoder Vishu Mtata, Zulu man, Ushimen, binti kiziwi, Selikavu, Kiranga adriz, Shimba ya Buyenze, and 100 others Black Sniper Grahams may we all live long and have a health life amen.
Mimi ni raisi wa chama Cha ma jobless pro max πAmina kubwa mtumishi
Amina kijana,mshikaji wako niko hapa... mshika pesa lakini..!!Sir God your loyal soldier I'm back again, na Kama chipsi mioyo ya ma snitch endelea kuikaanga kwenye flampeni.
Bablai najua ma snitch kibao hawa taki ni exist, but mi niko fresh na na nina amani coz I know my savior una exist.
May you guide mimi, my family na hata washkaji zangu tuendelee ku exist Half american, makutupora min -me Bolotoba Edo kissy Thecoder Vishu Mtata, Zulu man, Ushimen, binti kiziwi, Selikavu, Kiranga adriz, Shimba ya Buyenze, and 100 others Black Sniper Grahams may we all live long and have a health life amen.
Misheveve Ina kuharibu akiliAmina kijana,mshikaji wako niko hapa... mshika pesa lakini..!!
Una maana gani?Misheveve Ina kuharibu akili
Bhangi Zina kuchanganya, Sasa wewe uwe rafiki yangu ili ushike pesa si Bora uwe mchawi SasaππUna maana gani?
Mshikaji maana yake nini?Bhangi Zina kuchanganya, Sasa wewe uwe rafiki yangu ili ushike pesa si Bora uwe mchawi Sasaππ
Mimi ni raisi wa chama Cha ma jobless pro max, hapa uta shika nyanya chungu tuπ€£πMshikaji maana yake nini?
Nimechagua kushika(ushikaji) pesa yako π€£