Uzi maalumu; Machine zinazotengenezwa hapa nchini

Uzi maalumu; Machine zinazotengenezwa hapa nchini

TUNAENDELEA MASHINE ZA JUISI YA MIWA


HIZI ZIPO ZA MKONO LAKI SABA NA NUSU TU

NA ZA UMEME AU MAFUTA MILLION MOJA NA LAKI TANO UNACHAGUA MFUMO MMOJA

NA YENYE KIBANDA HII MILLION MBILI NA LAKI TATU
FB_IMG_1608149287465.jpeg
Screenshot_20190214-115154.jpeg
IMG_20190309_155837.jpeg
IMG_20201219_230346_313.jpeg
IMG_20201219_230346_311.jpeg
IMG_20190322_165241.jpeg
IMG_20190322_165218.jpeg
IMG_20190409_075636.jpeg
IMG_20190409_075629.jpeg
 
Niwapongeze

Ila maswali yangu ni haya

1. Hizi mashine za kusaga na kukoboa naona hamna mabadiliko makubwa kwa kipindi kirefu japo teknolojia zinazidi kukua, mapungufu hayawezi kukosekana nategemea mabadiliko kila baada ya muda fulani, japo hili lahitaji timu ya utafiti na uchunguzi wa muda mrefu ili kubaini maboresho muhimu.

2. Mashine zinazotumika kuzalisha vyakula vya binadamu kwanini hamtumii stainless steel sheet ili kupunguza ama kudhibiti contamination ya vyakula ama mazao yanayosagwa. na pia kurahisisha usafishwaji.
 
TUNAENDELEA NA MASHINE ZA PEA NUT BUTTER

hapa ni mashine za kusaga karanga kuwa kama paste

Na kama unahitaji usage karanga katika mfumo wa unga pia unatengenezewa


Hii mashine unaipata kwa million mbili na laki tano
20210111_190322-BlendCollage.jpeg
 
Niwapongeze

Ila maswali yangu ni haya

1. Hizi mashine za kusaga na kukoboa naona hamna mabadiliko makubwa kwa kipindi kirefu japo teknolojia zinazidi kukua, mapungufu hayawezi kukosekana nategemea mabadiliko kila baada ya muda fulani, japo hili lahitaji timu ya utafiti na uchunguzi wa muda mrefu ili kubaini maboresho muhimu.

2. Mashine zinazotumika kuzalisha vyakula vya binadamu kwanini hamtumii stainless steel sheet ili kupunguza ama kudhibiti contamination ya vyakula ama mazao yanayosagwa. na pia kurahisisha usafishwaji.
Asante sana mkuu tunashukuru kwa pongezi
Asante kwa kuliona hilo ila nataka nikuulize swali dogo tu je umewahi kumiliki au kumuona aliye na mashine ya kusaga na kukoboa kutoka nje?

Kama utanifuatilia vizuri kuna Uzi wangu humu mashine za kutoka China nimechambua moja baada ya nyingine na nikisaidiana na wenzangu wanaoagiza China

Kiufupi baadhi ya mashine tupo juu kuwazidi hata wao kutokana na kwamba wao huleta mashine rahisi ambazo hufanya light work kazi ndogo ndogo lakini sisi tunazitengeneza kuendana na mazingira yetu chuma kigumu na strong


WAO WALIPOTUZIDI AMBAPO NAKIRI NI FINISHING TU



PIA swali la pili tunatumia stainless au galvanized steel kama mashine za miwa huwezi tumia chuma mkuu hata TBS hicho hufuatilia

Maana kupata vibali kuna vitu vya kuzingatia ambavyo hata mashine hali yake ipoje


Asante tunashukuru
 
Niwapongeze

Ila maswali yangu ni haya

1. Hizi mashine za kusaga na kukoboa naona hamna mabadiliko makubwa kwa kipindi kirefu japo teknolojia zinazidi kukua, mapungufu hayawezi kukosekana nategemea mabadiliko kila baada ya muda fulani, japo hili lahitaji timu ya utafiti na uchunguzi wa muda mrefu ili kubaini maboresho muhimu.

2. Mashine zinazotumika kuzalisha vyakula vya binadamu kwanini hamtumii stainless steel sheet ili kupunguza ama kudhibiti contamination ya vyakula ama mazao yanayosagwa. na pia kurahisisha usafishwaji.
Nina wateja tumewabadilishia mashine zao walikimbilia za nje zimewapiga kingine hata kwenye mashine za alizeti kilio kimetawala huko
Wanarudi tuwatengenezee za nje nyingi bei ndogo ila hazihimili mazingira yetu
 
Nina wateja tumewabadilishia mashine zao walikimbilia za nje zimewapiga kingine hata kwenye mashine za alizeti kilio kimetawala huko
Wanarudi tuwatengenezee za nje nyingi bei ndogo ila hazihimili mazingira yetu
Nakubaliana nawewe, na kiukweli katika vitu watu wanakosea ni kuangalia gharama badala ya ubora,
 
Nakubaliana nawewe, na kiukweli katika vitu watu wanakosea ni kuangalia gharama badala ya ubora,
Mfano mashine ya alizeti ya kutoka nje ipo mpaka ya million saba lakini kwetu ukitaka mashine nzuri ikiwa na heater zake ni zaidi ya million 15

Mwanzo itafanya vizuri kwa kadri ila baada ya muda utaona zina mafua

NAKUPONGEZA KWA KUTAMBUA HAYO ASANTE
 
TUNAENDELEA NA MASHINE ZA CHAKI

mashine za kutengeneza chaki hizi zipo aina mbili ya umeme au ya mkono au manual

Mashine ya mkono au manual ni kuanzia tundu 100 hii ni million moja na laki mbili tu
Na hapa inategemea iwekewe stand au kawaida



Na kadri inazidi kuwa na matundu mengi ndipo mfumo wa umeme unahitajika maana itakuwa na mixer yake karibu 0763542515
tapatalk_1554382903336.jpeg
IMG_20200708_170937.jpeg
 
Mashine za tofali nne kwa wakati mmoja
IMG_20180707_124319.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20190420_181554.jpeg
    IMG_20190420_181554.jpeg
    56.7 KB · Views: 34
Back
Top Bottom