Huu ni uzi maalumu.
Nakusudia tujikumbushe matukio ambayo sio mazuri na yabaki kuwa kumbukumbu.
Nitataja machache na wengine wataweka yaliyosahaulika.
1. Kupigwa marufuku mikutano ya kisiasa na maandamano isipokuwa mikutano ya ndani na ya wabunge Katika maeneo yao
2. Kuibuka wimbi la kupotea wanasiasa wa upinzani akiwemo Mawazo na Ben Saanane
3. Kutokea wimbi la kuokotwa maiti kwenye viroba na kutopatikana majibu
4. Uvamizi Wa vituo vya polisi sitakishari, kibiti na kufuatiwa na mauaji
5. Kutokea Kwa majambazi huko amboni Tanga.
6. Kufunguliwa Kwa kesi nyingi kwa wapinzani katika muda mfupi.
7. Kutokea uhasama baina ya chama tawala na baadhi ya vyama makini hasa chadema.
8. Dola kujiingiza kwenye mgogoro wa CUF na kuegemea upande mmoja wa mgogoro
9. Hali ya maisha na kipato cha watu kudorora
10. Sekta binafsi kuanguka na wat u kukosa ajira hasa miaka ya awali ya awamu ya tano.
11. Vyombo vya dola kujiingiza kwenye siasa za wazi, Polisi na wakuu Wa mikoa
12. Wafanyakazi kutopandishwamishahara Kwa kipindi chote
13. Watu kutokuwa na furaha na wafanyakazi kuwa na hofu kwenye mazingira ya kazi hasa serikalini
14. Kushuka Kwa kasi mshikamano Wa kitaifa na kuwepo na chuki za kisiasa kuliko kipindi chochote baada ya uhuru.
15. Kushuka Kwa diplomasia yetu na kuibuka Matamko mengi ya kukosowa kutoka kwa wada u Wetu Wa kimataifa.
16. Kutungwa sheria tata za Habari za mtandao na maudhui ambazo zinalalamikwa sana na wadau.
17. Kuminywa kwa uhuru wa habari na kujieleza
NB. Hayo ni baadhi tu, na sio kwamba hakuna mazuri hapana.
Mada hii imejiegemeza kutaja yasiyofurahisha, MTU mwengine anaweza kuanzisha mada ya mazuri.
Unaweza vilevile kuongezea.
Kishada
Nakusudia tujikumbushe matukio ambayo sio mazuri na yabaki kuwa kumbukumbu.
Nitataja machache na wengine wataweka yaliyosahaulika.
1. Kupigwa marufuku mikutano ya kisiasa na maandamano isipokuwa mikutano ya ndani na ya wabunge Katika maeneo yao
2. Kuibuka wimbi la kupotea wanasiasa wa upinzani akiwemo Mawazo na Ben Saanane
3. Kutokea wimbi la kuokotwa maiti kwenye viroba na kutopatikana majibu
4. Uvamizi Wa vituo vya polisi sitakishari, kibiti na kufuatiwa na mauaji
5. Kutokea Kwa majambazi huko amboni Tanga.
6. Kufunguliwa Kwa kesi nyingi kwa wapinzani katika muda mfupi.
7. Kutokea uhasama baina ya chama tawala na baadhi ya vyama makini hasa chadema.
8. Dola kujiingiza kwenye mgogoro wa CUF na kuegemea upande mmoja wa mgogoro
9. Hali ya maisha na kipato cha watu kudorora
10. Sekta binafsi kuanguka na wat u kukosa ajira hasa miaka ya awali ya awamu ya tano.
11. Vyombo vya dola kujiingiza kwenye siasa za wazi, Polisi na wakuu Wa mikoa
12. Wafanyakazi kutopandishwamishahara Kwa kipindi chote
13. Watu kutokuwa na furaha na wafanyakazi kuwa na hofu kwenye mazingira ya kazi hasa serikalini
14. Kushuka Kwa kasi mshikamano Wa kitaifa na kuwepo na chuki za kisiasa kuliko kipindi chochote baada ya uhuru.
15. Kushuka Kwa diplomasia yetu na kuibuka Matamko mengi ya kukosowa kutoka kwa wada u Wetu Wa kimataifa.
16. Kutungwa sheria tata za Habari za mtandao na maudhui ambazo zinalalamikwa sana na wadau.
17. Kuminywa kwa uhuru wa habari na kujieleza
NB. Hayo ni baadhi tu, na sio kwamba hakuna mazuri hapana.
Mada hii imejiegemeza kutaja yasiyofurahisha, MTU mwengine anaweza kuanzisha mada ya mazuri.
Unaweza vilevile kuongezea.
Kishada