We acha tu, yaani tumesambaratika kama mchele wa pishori mpwa.Tangu watufungie Jukwaa letu pendwa umeadimika madame [emoji16]
Tuombeane tu wakuu.
Mkuu umepote snTuombeane tu wakuu.
Huyu siku hizi amekuwa mhudumu wa gest na anauza "pipi" kinyama.Gentamycin huyu kichaa Yuko wapi...bingwa la I'd nyingi east and central Africa... @missfortune
Kweli mkuu, nakuja nachungulia na kusepa kama hivi ila punde nitarejea.Mkuu umepote sn