Ila Rene alikuww mhuni flani hivi, miaka ile Colombia walikuwa wanapiga risasi wachezaji wao wakifungi
Fergie alitetema ile fainali yaani mzee alikuwa hajui afanye nini daadekiFergie anatetemeka Wembley
FundiJay Jay Augustine Azuka Okocha View attachment 2598783
Umenikumbusha mzee wa kupiga mifaulo...jose luis chilavertYeah kipindi Cha kina Escobar ila hata Chilvert alikuwa mwehu mwingine
Yeah riquelme aliwahi kuingia 18 za marerazzi alitokewa uwanjani na jeraha usoni ilikuwa UEFA nadhaniRequelme + Forlan
Villareal yao ilisumbua sanaView attachment 2598833
Alikuwa anapiga mabeki wakeUmenikumbusha mzee wa kupiga mifaulo...jose luis chilavert
Materazzi nae alikuwa askari ambae unaeza kwenda nae vitani kwa ubabe wake🫡🫡Yeah riquelme aliwahi kuingia 18 za marerazzi alitokewa uwanjani na jeraha usoni ilikuwa UEFA nadhani
Ujue makipa wa zamani walikuwa wababe sana akina macho manne yule mturuki, oliver kahn, big dane schmeichelAlikuwa anapiga mabeki wake
Kama yule muargentinna alicheza man u then real, Gabriel Heinz, Ferguson alimnunua Kwa sababu ya roughMaterazzi nae alikuwa askari ambae unaeza kwenda nae vitani kwa ubabe wake🫡🫡
Watu walikuwa wanaomba wasikutane na Bayern. Jamaa walijitengenezea ufalme wao kipindi fulani hapo miaka ya katiRobben + RibberyView attachment 2598824
WanastahiliHawa kwa pamoja jezi zao zimestaafishwa na vilabu vyao jijini MilanView attachment 2598842
Aliwahi kusababisha penati tatu kwenye gem mojaKama yule muargentinna alicheza man u then real, Gabriel Heinz, Ferguson alimnunua Kwa sababu ya rough