kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Hao watu usoni ni wema ila wana roho mbaya sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walio karibu nae wamtonye mapema !Lugumi
Hapa usisahau sasa fact moja kubwa kwamba assuming yanayosemwa humu ni kweli, hawa wa kudandia ndiyo wanaoweza kuitumia vizuri zaidi mbinu hii kuliko hata wale wavumbuzi wakeMbinu hii ilitumiwa na Wafilisti dhidi ya waisrael.
Kahaba Delila alipewa jukumu la kumpeleleza baunsa Samson mpaka akalegea na kutoboa siri na kutiwa nguvuni.
Hawa wanyarwanda sio wavunbuzi wa hii misheni, bali wamedandia tu.
Hii post nayo inahusiana pia na mada iliyopo hewani au imeingia hapa kwa bahati mbaya?Pep Gurdiola alikuwa mwanafunzi wa Ferguson katika soka lakini 2008 akiwa kocha wa Barcelona alimuabisha mwl wake mzee Alex Ferguson
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikuibie siri.... wadada kutoka Rwanda pale wengi wao wazuri sura tu na si vinginevyo... hivyo siku za karibuni wala hawatumiki tena.... Wew una ugeni naoKumekucha baadhi ya maeneo lakin kwingineko bado ni usiku na kwingineko inaelekea mchana,
Katika kazi zangu nimepata bahati ya kukutana na dada mmoja jina ntamuita code name MNBQX
Huyu dada Tumekuwa naye katika kazi mbali mbali Kwa miaka minne iliyopita, na bahati nzuri huwa tunakutana mara Kwa mara , kulingana na nature ya kazi
Tumebahatika kuwa marafiki wa kawaida maana tunatokea ukanda mmoja wa Africa mashariki,
Baada ya kunizoea Sana na kugundua baadhi ya mambo kwake na yeye kugundua kwangu, kaamua kuuza timu,
Lakin kulingana na aina ya habari alizonipa inabidi niandike Kwa umakini Sana kuweza kuficha baadhi ya mambo,
Uzi huu utakuwa na update za mara Kwa mara kulingana na umakini wa kuedit alichoniambia na kutumia mbinu ya Hali ya juu kuwasilisha ujumbe bila kuweka bayana mambo yote wala wahusika kujulikana moja Kwa moja,
Lakin hii itakuwa somo Kwa Nchi zinazomzunguka Rwanda na wanaojipendekeza Kwa Rwanda ,
Kaa ukijua Rwanda ina agenda ya Siri ambayo si wanyarwanda wote wanajua
Asilimia 60 ya wanyarwanda ni ma spy na asilimia 70 ya wanyarwanda walio nje ya Rwanda ni ma spy katika mataifa waliopo,
Kwanini Rwanda afanye uspy? Hasa Kwa nchi hizi masikini kama Tanzania, Uganda ,Burundi na Kongo? Atafaidika nini? Yote hayo utayajua,
Miez Saba iliyopita nilibahatika kukaa na huyo mdada Kwa ajili ya story za kina Sana juu ya Rwanda , na nilimueleza baadhi ya mambo niliyogundua kwake , ilikuwa ngumu kuniambia na alisita na hakutaka na akabadili kabisa story kabisa,
Week moja baadae nikamkuta na reports ambazo zimeandikwa Kwa kinyarwanda, na mara zote anajua sijui au sielewi kinyarwanda,
Maelekezo hayo yalikua ya kutimiza mambo ndani ya Uganda wakati wa Uchaguzi mkuu ulio pita ,
Maeneo tajwa ni Kyengera, Busega kasese na nansana,..
Kwa chaguzi za Tanzania katajwa mchingaji mmoja R.I.P kukwamisha hatakati hizo,
Imetajwa Dodoma, karagwe , chalinze Dar es salaam , morogoro,
Katajwa Joseph Nimi alokamatwa pale hoteli mwanamboka,
Umetajwa mfumo wa kuhesabu Kura na technologia
Baadae akagundua naelewa kinyarwanda kulingana na habari nazo muuliza akaona nimeshajua mengi mno akaniweka wazi kwa kuwa anajua tuna mambo mengi tumefanya pamoja
Na ananitegemea Sana kukamilisha Jambo ilo
Akaniweka wazi kwamba Rwanda wakijikuta wakiitumia njia Inaitwa "kyambugu method" ili kufanikisha ushushushu maeneo mbali mbali Africa,
hapa wanaume ma handsome walitafutwa Kwa Hali na mali ili kuwatumia, na walikuwa na mvuto kweli wakawa wanatumwa nchi nyingine kuwatongoza wanawake masekretari/karani wa ofis mbali mbali na kupata taarifa sahihi kabisa wanazotaka, maana ilikuwa ngumu kuwatumia wadada kuomba kazi nchi hizo kwakuwa na ugumu wa uraia,
njia pekee ni kutumia wanaume wenye pesa, Vipaji na mvuto kukamilisha kazi hiyo pia kama waliona sehemu haiingiliki hao wanaume ma handsome walitumia marafiki wapya wa kike kiwafanikishia Hilo jukumu Kwa kutongoza wanaume ambao wapo katika office,
Mtu maarufu katika kuwapa mafunzo alisema " Ni Rwanda iliyofanikiwa katika mfumo wa kuwahusisha wanawake katika mbinu za kiujasusi na ushushushu katika africa, waliwafundisha wanawake njia za kujitongozesha katika wanaume, msichana huyu alendeleaa alielezea story moja kuhusu Rwanda na jinsi wanavyowapata wasichana warembo mnoo kuweza kutumika katika ushushushu Kwa kuangalia video za porn na kuangalia jinsi wanawake wanaweza kuwavutia wanaume Kwa njia mbali mbali,
Jinsi ya kujifanya wanafunzi wa chuo na kuseduce watu maarufu,
Serikali ya Rwanda Imewalipia mpaka Ada vyuo mbali mbali na kuishia katikati Kwa kisingizio cha Ada kukatika,
Wamekuwa wakitumika mipakani na kuwapenda maafisa uhamiaji mpaka wa ngazi za juu,
Anaendelea kueleza jinsi ambavyo wanaweza wakawa katika mahusiano na maafisa wa jeshi
Katika mafunzo yetu , wakufunzi wetu wamesisitiza Kwa mara kwamba sisi ni Askari na silaha ni ni miili yetu, Tulikuwa tiyari kusinzia na kila mwanaume ili tupate taarifa sahihi, na tumekuwa tunafanya kazi Kwa Oder hata kama hutaki ukipata maelekezo lazima utimize dhamira hiyo ,
Tumefundishwa mbinu nyingine nyingi kama za mawasiliano
Steganogrpahy ambayo sisi tuliita WEKENGE hii ni mbinu ya kuficha taarifa kama unawasiliana na mwenzako unatuma taarifa Kwa njia ya meseji kuna maneno yanavyowekwa mpaka wengine hawaelewi unamaanisha nini
Nakumbuka wakati wa Mwaka 2005 wa Tanzania tulipewa maelekezo nami nikawa miongoni mwa watu waliokwenda Tanzania tukapanga safari mpaka Rusumo baada ya kufika pale tukakubaliana .......
Itaendelea maana hapa kuna majina natafta jinsi ya kuyawasilisha
La paix tuxicanaKumekucha baadhi ya maeneo lakin kwingineko bado ni usiku na kwingineko inaelekea mchana,
Katika kazi zangu nimepata bahati ya kukutana na dada mmoja jina ntamuita code name MNBQX
Huyu dada Tumekuwa naye katika kazi mbali mbali Kwa miaka minne iliyopita, na bahati nzuri huwa tunakutana mara Kwa mara , kulingana na nature ya kazi
Tumebahatika kuwa marafiki wa kawaida maana tunatokea ukanda mmoja wa Africa mashariki,
Baada ya kunizoea Sana na kugundua baadhi ya mambo kwake na yeye kugundua kwangu, kaamua kuuza timu,
Lakin kulingana na aina ya habari alizonipa inabidi niandike Kwa umakini Sana kuweza kuficha baadhi ya mambo,
Uzi huu utakuwa na update za mara Kwa mara kulingana na umakini wa kuedit alichoniambia na kutumia mbinu ya Hali ya juu kuwasilisha ujumbe bila kuweka bayana mambo yote wala wahusika kujulikana moja Kwa moja,
Lakin hii itakuwa somo Kwa Nchi zinazomzunguka Rwanda na wanaojipendekeza Kwa Rwanda ,
Kaa ukijua Rwanda ina agenda ya Siri ambayo si wanyarwanda wote wanajua
Asilimia 60 ya wanyarwanda ni ma spy na asilimia 70 ya wanyarwanda walio nje ya Rwanda ni ma spy katika mataifa waliopo,
Kwanini Rwanda afanye uspy? Hasa Kwa nchi hizi masikini kama Tanzania, Uganda ,Burundi na Kongo? Atafaidika nini? Yote hayo utayajua,
Miez Saba iliyopita nilibahatika kukaa na huyo mdada Kwa ajili ya story za kina Sana juu ya Rwanda , na nilimueleza baadhi ya mambo niliyogundua kwake , ilikuwa ngumu kuniambia na alisita na hakutaka na akabadili kabisa story kabisa,
Week moja baadae nikamkuta na reports ambazo zimeandikwa Kwa kinyarwanda, na mara zote anajua sijui au sielewi kinyarwanda,
Maelekezo hayo yalikua ya kutimiza mambo ndani ya Uganda wakati wa Uchaguzi mkuu ulio pita ,
Maeneo tajwa ni Kyengera, Busega kasese na nansana,..
Kwa chaguzi za Tanzania katajwa mchingaji mmoja R.I.P kukwamisha hatakati hizo,
Imetajwa Dodoma, karagwe , chalinze Dar es salaam , morogoro,
Katajwa Joseph Nimi alokamatwa pale hoteli mwanamboka,
Umetajwa mfumo wa kuhesabu Kura na technologia
Baadae akagundua naelewa kinyarwanda kulingana na habari nazo muuliza akaona nimeshajua mengi mno akaniweka wazi kwa kuwa anajua tuna mambo mengi tumefanya pamoja
Na ananitegemea Sana kukamilisha Jambo ilo
Akaniweka wazi kwamba Rwanda wakijikuta wakiitumia njia Inaitwa "kyambugu method" ili kufanikisha ushushushu maeneo mbali mbali Africa,
hapa wanaume ma handsome walitafutwa Kwa Hali na mali ili kuwatumia, na walikuwa na mvuto kweli wakawa wanatumwa nchi nyingine kuwatongoza wanawake masekretari/karani wa ofis mbali mbali na kupata taarifa sahihi kabisa wanazotaka, maana ilikuwa ngumu kuwatumia wadada kuomba kazi nchi hizo kwakuwa na ugumu wa uraia,
njia pekee ni kutumia wanaume wenye pesa, Vipaji na mvuto kukamilisha kazi hiyo pia kama waliona sehemu haiingiliki hao wanaume ma handsome walitumia marafiki wapya wa kike kiwafanikishia Hilo jukumu Kwa kutongoza wanaume ambao wapo katika office,
Mtu maarufu katika kuwapa mafunzo alisema " Ni Rwanda iliyofanikiwa katika mfumo wa kuwahusisha wanawake katika mbinu za kiujasusi na ushushushu katika africa, waliwafundisha wanawake njia za kujitongozesha katika wanaume, msichana huyu alendeleaa alielezea story moja kuhusu Rwanda na jinsi wanavyowapata wasichana warembo mnoo kuweza kutumika katika ushushushu Kwa kuangalia video za porn na kuangalia jinsi wanawake wanaweza kuwavutia wanaume Kwa njia mbali mbali,
Jinsi ya kujifanya wanafunzi wa chuo na kuseduce watu maarufu,
Serikali ya Rwanda Imewalipia mpaka Ada vyuo mbali mbali na kuishia katikati Kwa kisingizio cha Ada kukatika,
Wamekuwa wakitumika mipakani na kuwapenda maafisa uhamiaji mpaka wa ngazi za juu,
Anaendelea kueleza jinsi ambavyo wanaweza wakawa katika mahusiano na maafisa wa jeshi
Katika mafunzo yetu , wakufunzi wetu wamesisitiza Kwa mara kwamba sisi ni Askari na silaha ni ni miili yetu, Tulikuwa tiyari kusinzia na kila mwanaume ili tupate taarifa sahihi, na tumekuwa tunafanya kazi Kwa Oder hata kama hutaki ukipata maelekezo lazima utimize dhamira hiyo ,
Tumefundishwa mbinu nyingine nyingi kama za mawasiliano
Steganogrpahy ambayo sisi tuliita WEKENGE hii ni mbinu ya kuficha taarifa kama unawasiliana na mwenzako unatuma taarifa Kwa njia ya meseji kuna maneno yanavyowekwa mpaka wengine hawaelewi unamaanisha nini
Nakumbuka wakati wa Mwaka 2005 wa Tanzania tulipewa maelekezo nami nikawa miongoni mwa watu waliokwenda Tanzania tukapanga safari mpaka Rusumo baada ya kufika pale tukakubaliana .......
Itaendelea maana hapa kuna majina natafta jinsi ya kuyawasilisha
HakikaHao watu usoni ni wema ila wana roho mbaya sana.
ChaiWe are too big kwao, ila sisi hatuko strategic kama wao.
Nakushauri, usiwa-underate Watusi hata kidogo. Ni watu hatari sana, wako too strategic hawa watu. Mipango yao haina tofauti na ya Waisrael. Lengo ni Kuongoza Afica Nzima.
hata mabaa med wapo wengi tu, sema sasa sura zao hawawezi kujificha. hasa wanaotumiwa hapa bongo ni wale waliozaliwa hapa, utakuta babake mtusi mama mbongo ila kaamua kuwa mnyarwanda, babake kasoma hapa, wamezaliwa hapa ila waliamua kurudi kule na wamepata kazi. hao usipoangalia sura lafudhi ni mtz pure. wapo wengi tu wengine wapo maofisini huko wanajifanya watanzania. itokee siku waweke sanduku la siri mtu arushe jina na ushahidi, watakusanya wengi sana, wakachambue na kufanya uchunguzi wenyewe ili wale walioonewa wachunjwe, nakuhakikishia watapata majina ya wengi sana. wengine viongozi na wameteuliwa na rais utawapata.Kumekucha baadhi ya maeneo lakin kwingineko bado ni usiku na kwingineko inaelekea mchana,
Katika kazi zangu nimepata bahati ya kukutana na dada mmoja jina ntamuita code name MNBQX
Huyu dada Tumekuwa naye katika kazi mbali mbali Kwa miaka minne iliyopita, na bahati nzuri huwa tunakutana mara Kwa mara , kulingana na nature ya kazi
Tumebahatika kuwa marafiki wa kawaida maana tunatokea ukanda mmoja wa Africa mashariki,
Baada ya kunizoea Sana na kugundua baadhi ya mambo kwake na yeye kugundua kwangu, kaamua kuuza timu,
Lakin kulingana na aina ya habari alizonipa inabidi niandike Kwa umakini Sana kuweza kuficha baadhi ya mambo,
Uzi huu utakuwa na update za mara Kwa mara kulingana na umakini wa kuedit alichoniambia na kutumia mbinu ya Hali ya juu kuwasilisha ujumbe bila kuweka bayana mambo yote wala wahusika kujulikana moja Kwa moja,
Lakin hii itakuwa somo Kwa Nchi zinazomzunguka Rwanda na wanaojipendekeza Kwa Rwanda ,
Kaa ukijua Rwanda ina agenda ya Siri ambayo si wanyarwanda wote wanajua
Asilimia 60 ya wanyarwanda ni ma spy na asilimia 70 ya wanyarwanda walio nje ya Rwanda ni ma spy katika mataifa waliopo,
Kwanini Rwanda afanye uspy? Hasa Kwa nchi hizi masikini kama Tanzania, Uganda ,Burundi na Kongo? Atafaidika nini? Yote hayo utayajua,
Miez Saba iliyopita nilibahatika kukaa na huyo mdada Kwa ajili ya story za kina Sana juu ya Rwanda , na nilimueleza baadhi ya mambo niliyogundua kwake , ilikuwa ngumu kuniambia na alisita na hakutaka na akabadili kabisa story kabisa,
Week moja baadae nikamkuta na reports ambazo zimeandikwa Kwa kinyarwanda, na mara zote anajua sijui au sielewi kinyarwanda,
Maelekezo hayo yalikua ya kutimiza mambo ndani ya Uganda wakati wa Uchaguzi mkuu ulio pita ,
Maeneo tajwa ni Kyengera, Busega kasese na nansana,..
Kwa chaguzi za Tanzania katajwa mchingaji mmoja R.I.P kukwamisha hatakati hizo,
Imetajwa Dodoma, karagwe , chalinze Dar es salaam , morogoro,
Katajwa Joseph Nimi alokamatwa pale hoteli mwanamboka,
Umetajwa mfumo wa kuhesabu Kura na technologia
Baadae akagundua naelewa kinyarwanda kulingana na habari nazo muuliza akaona nimeshajua mengi mno akaniweka wazi kwa kuwa anajua tuna mambo mengi tumefanya pamoja
Na ananitegemea Sana kukamilisha Jambo ilo
Akaniweka wazi kwamba Rwanda wakijikuta wakiitumia njia Inaitwa "kyambugu method" ili kufanikisha ushushushu maeneo mbali mbali Africa,
hapa wanaume ma handsome walitafutwa Kwa Hali na mali ili kuwatumia, na walikuwa na mvuto kweli wakawa wanatumwa nchi nyingine kuwatongoza wanawake masekretari/karani wa ofis mbali mbali na kupata taarifa sahihi kabisa wanazotaka, maana ilikuwa ngumu kuwatumia wadada kuomba kazi nchi hizo kwakuwa na ugumu wa uraia,
njia pekee ni kutumia wanaume wenye pesa, Vipaji na mvuto kukamilisha kazi hiyo pia kama waliona sehemu haiingiliki hao wanaume ma handsome walitumia marafiki wapya wa kike kiwafanikishia Hilo jukumu Kwa kutongoza wanaume ambao wapo katika office,
Mtu maarufu katika kuwapa mafunzo alisema " Ni Rwanda iliyofanikiwa katika mfumo wa kuwahusisha wanawake katika mbinu za kiujasusi na ushushushu katika africa, waliwafundisha wanawake njia za kujitongozesha katika wanaume, msichana huyu alendeleaa alielezea story moja kuhusu Rwanda na jinsi wanavyowapata wasichana warembo mnoo kuweza kutumika katika ushushushu Kwa kuangalia video za porn na kuangalia jinsi wanawake wanaweza kuwavutia wanaume Kwa njia mbali mbali,
Jinsi ya kujifanya wanafunzi wa chuo na kuseduce watu maarufu,
Serikali ya Rwanda Imewalipia mpaka Ada vyuo mbali mbali na kuishia katikati Kwa kisingizio cha Ada kukatika,
Wamekuwa wakitumika mipakani na kuwapenda maafisa uhamiaji mpaka wa ngazi za juu,
Anaendelea kueleza jinsi ambavyo wanaweza wakawa katika mahusiano na maafisa wa jeshi
Katika mafunzo yetu , wakufunzi wetu wamesisitiza Kwa mara kwamba sisi ni Askari na silaha ni ni miili yetu, Tulikuwa tiyari kusinzia na kila mwanaume ili tupate taarifa sahihi, na tumekuwa tunafanya kazi Kwa Oder hata kama hutaki ukipata maelekezo lazima utimize dhamira hiyo ,
Tumefundishwa mbinu nyingine nyingi kama za mawasiliano
Steganogrpahy ambayo sisi tuliita WEKENGE hii ni mbinu ya kuficha taarifa kama unawasiliana na mwenzako unatuma taarifa Kwa njia ya meseji kuna maneno yanavyowekwa mpaka wengine hawaelewi unamaanisha nini
Nakumbuka wakati wa Mwaka 2005 wa Tanzania tulipewa maelekezo nami nikawa miongoni mwa watu waliokwenda Tanzania tukapanga safari mpaka Rusumo baada ya kufika pale tukakubaliana .......
Itaendelea maana hapa kuna majina natafta jinsi ya kuyawasilisha
Rwanda katika Military base Bado sana kulinganisha na TANZANIA YA NYERERE tumewapatia uhuru nchi nyingi sana mzee so hata uspy wao kwetu ni taka taka Usitumie nguvu kubwa unakumbuka Kikwete alichomfanya kagame mwaka 2013 na 2014 Rwanda idadi yao ya JESHI NI NDOGO KAMA KAMBI ZA POLICE NA MAGEREZA Wenda Uganda ni WengiKumekucha baadhi ya maeneo lakin kwingineko bado ni usiku na kwingineko inaelekea mchana,
Katika kazi zangu nimepata bahati ya kukutana na dada mmoja jina ntamuita code name MNBQX
Huyu dada Tumekuwa naye katika kazi mbali mbali Kwa miaka minne iliyopita, na bahati nzuri huwa tunakutana mara Kwa mara , kulingana na nature ya kazi
Tumebahatika kuwa marafiki wa kawaida maana tunatokea ukanda mmoja wa Africa mashariki,
Baada ya kunizoea Sana na kugundua baadhi ya mambo kwake na yeye kugundua kwangu, kaamua kuuza timu,
Lakin kulingana na aina ya habari alizonipa inabidi niandike Kwa umakini Sana kuweza kuficha baadhi ya mambo,
Uzi huu utakuwa na update za mara Kwa mara kulingana na umakini wa kuedit alichoniambia na kutumia mbinu ya Hali ya juu kuwasilisha ujumbe bila kuweka bayana mambo yote wala wahusika kujulikana moja Kwa moja,
Lakin hii itakuwa somo Kwa Nchi zinazomzunguka Rwanda na wanaojipendekeza Kwa Rwanda ,
Kaa ukijua Rwanda ina agenda ya Siri ambayo si wanyarwanda wote wanajua
Asilimia 60 ya wanyarwanda ni ma spy na asilimia 70 ya wanyarwanda walio nje ya Rwanda ni ma spy katika mataifa waliopo,
Kwanini Rwanda afanye uspy? Hasa Kwa nchi hizi masikini kama Tanzania, Uganda ,Burundi na Kongo? Atafaidika nini? Yote hayo utayajua,
Miez Saba iliyopita nilibahatika kukaa na huyo mdada Kwa ajili ya story za kina Sana juu ya Rwanda , na nilimueleza baadhi ya mambo niliyogundua kwake , ilikuwa ngumu kuniambia na alisita na hakutaka na akabadili kabisa story kabisa,
Week moja baadae nikamkuta na reports ambazo zimeandikwa Kwa kinyarwanda, na mara zote anajua sijui au sielewi kinyarwanda,
Maelekezo hayo yalikua ya kutimiza mambo ndani ya Uganda wakati wa Uchaguzi mkuu ulio pita ,
Maeneo tajwa ni Kyengera, Busega kasese na nansana,..
Kwa chaguzi za Tanzania katajwa mchingaji mmoja R.I.P kukwamisha hatakati hizo,
Imetajwa Dodoma, karagwe , chalinze Dar es salaam , morogoro,
Katajwa Joseph Nimi alokamatwa pale hoteli mwanamboka,
Umetajwa mfumo wa kuhesabu Kura na technologia
Baadae akagundua naelewa kinyarwanda kulingana na habari nazo muuliza akaona nimeshajua mengi mno akaniweka wazi kwa kuwa anajua tuna mambo mengi tumefanya pamoja
Na ananitegemea Sana kukamilisha Jambo ilo
Akaniweka wazi kwamba Rwanda wakijikuta wakiitumia njia Inaitwa "kyambugu method" ili kufanikisha ushushushu maeneo mbali mbali Africa,
hapa wanaume ma handsome walitafutwa Kwa Hali na mali ili kuwatumia, na walikuwa na mvuto kweli wakawa wanatumwa nchi nyingine kuwatongoza wanawake masekretari/karani wa ofis mbali mbali na kupata taarifa sahihi kabisa wanazotaka, maana ilikuwa ngumu kuwatumia wadada kuomba kazi nchi hizo kwakuwa na ugumu wa uraia,
njia pekee ni kutumia wanaume wenye pesa, Vipaji na mvuto kukamilisha kazi hiyo pia kama waliona sehemu haiingiliki hao wanaume ma handsome walitumia marafiki wapya wa kike kiwafanikishia Hilo jukumu Kwa kutongoza wanaume ambao wapo katika office,
Mtu maarufu katika kuwapa mafunzo alisema " Ni Rwanda iliyofanikiwa katika mfumo wa kuwahusisha wanawake katika mbinu za kiujasusi na ushushushu katika africa, waliwafundisha wanawake njia za kujitongozesha katika wanaume, msichana huyu alendeleaa alielezea story moja kuhusu Rwanda na jinsi wanavyowapata wasichana warembo mnoo kuweza kutumika katika ushushushu Kwa kuangalia video za porn na kuangalia jinsi wanawake wanaweza kuwavutia wanaume Kwa njia mbali mbali,
Jinsi ya kujifanya wanafunzi wa chuo na kuseduce watu maarufu,
Serikali ya Rwanda Imewalipia mpaka Ada vyuo mbali mbali na kuishia katikati Kwa kisingizio cha Ada kukatika,
Wamekuwa wakitumika mipakani na kuwapenda maafisa uhamiaji mpaka wa ngazi za juu,
Anaendelea kueleza jinsi ambavyo wanaweza wakawa katika mahusiano na maafisa wa jeshi
Katika mafunzo yetu , wakufunzi wetu wamesisitiza Kwa mara kwamba sisi ni Askari na silaha ni ni miili yetu, Tulikuwa tiyari kusinzia na kila mwanaume ili tupate taarifa sahihi, na tumekuwa tunafanya kazi Kwa Oder hata kama hutaki ukipata maelekezo lazima utimize dhamira hiyo ,
Tumefundishwa mbinu nyingine nyingi kama za mawasiliano
Steganogrpahy ambayo sisi tuliita WEKENGE hii ni mbinu ya kuficha taarifa kama unawasiliana na mwenzako unatuma taarifa Kwa njia ya meseji kuna maneno yanavyowekwa mpaka wengine hawaelewi unamaanisha nini
Nakumbuka wakati wa Mwaka 2005 wa Tanzania tulipewa maelekezo nami nikawa miongoni mwa watu waliokwenda Tanzania tukapanga safari mpaka Rusumo baada ya kufika pale tukakubaliana .......
Itaendelea maana hapa kuna majina natafta jinsi ya kuyawasilisha
Hakuna jasusi atakayekueleza hivyo hata siku mo huyo kakuona una viela vya shamba la ukoo huko akaamua akupigeEti 60% ya Wanyarwanda ni ma-Spy na 70 ya Wanyarwanda waliopo nje ya Rwanda ni ma-Spy!
Nchi ya Rwanda inaendeshwa kwa siasa za ukabila zaidi ya 80% ya Wanyarwanda ni Wahutu ambao wametengwa na serikali iliyopo madarakani yenye zaidi ya viongozi na watumishi wa kada ya juu kutoka kabila la Watutsi kwa zaidi ya 95% na hata huko mtaani ni Wahutu walio wengi ndiyo wenye maisha ya chini na umasikini uliokithiri,halafu leo useme eti ndiyo wawe majasusi wa kuitumikia serikali inayowabagua kiasi hicho!
Lakini pia eti Baada ya kumgundua huyo Dada kwamba ni jasusi wa Kinyarwanda akaona bora akueleze ukweli na kukiri kwamba yeye ni jasusi wa kutoka Rwanda! Huyo atakuwa jasusi au msukule!
Hata hivyo nimefurahi kuisoma riwaya inayosisimua kwa story yake lakini ni vyema ukaendelea kujifunza vyema uandishi wa riwaya kama hizi kwa kupitia vitabu vya watunzi wenzako waliokutangulia kama Wlly Gamba,Ben Mtobwa,Joram Kiango na Elvis Musiba.
Au sijui anatuona mazuzu!Hakuna jasusi atakayekueleza hivyo hata siku mo huyo kakuona una viela vya shamba la ukoo huko akaamua akupige
sasa kama wamepima DNA wakakuta ni wao.Baambie ...wale mlioowa mtutsi hao watoto sio wenu......Wanapigiwa na mashemeji zao hao. Wageni wa kiume hupangiwa kuja na kula mizigo siku za hatari (Za kuweka mimba). Mifano ipo. Na watoto huaminishwa kuwa Rwanda ni Sehemu bora kuliko sehemu yoyote ile Duniani.
kwaiyo watusi hawatailiwiii😂😂😂magoviiiWatu wenyewe hawajui tohara
Eti na wenyewe watawale. [emoji16]
Kaka wajinga humu wametamalaki. Wanasifia Rwanda asubuhi mchana na jioni. Wangekuwa na akili mbona bado ni nchi masikini? Anatema takwimu tu asilimia 70... Hiyo ni nchi gani?Eti 60% ya Wanyarwanda ni ma-Spy na 70 ya Wanyarwanda waliopo nje ya Rwanda ni ma-Spy!
Nchi ya Rwanda inaendeshwa kwa siasa za ukabila zaidi ya 80% ya Wanyarwanda ni Wahutu ambao wametengwa na serikali iliyopo madarakani yenye zaidi ya viongozi na watumishi wa kada ya juu kutoka kabila la Watutsi kwa zaidi ya 95% na hata huko mtaani ni Wahutu walio wengi ndiyo wenye maisha ya chini na umasikini uliokithiri,halafu leo useme eti ndiyo wawe majasusi wa kuitumikia serikali inayowabagua kiasi hicho!
Lakini pia eti Baada ya kumgundua huyo Dada kwamba ni jasusi wa Kinyarwanda akaona bora akueleze ukweli na kukiri kwamba yeye ni jasusi wa kutoka Rwanda! Huyo atakuwa jasusi au msukule!
Hata hivyo nimefurahi kuisoma riwaya inayosisimua kwa story yake lakini ni vyema ukaendelea kujifunza vyema uandishi wa riwaya kama hizi kwa kupitia vitabu vya watunzi wenzako waliokutangulia kama Wlly Gamba,Ben Mtobwa,Joram Kiango na Elvis Musiba.