Uzi maalumu: Rwanda wanavyotumia wadada warembo katika uspy wao

Mbinu hii ilitumiwa na Wafilisti dhidi ya waisrael.

Kahaba Delila alipewa jukumu la kumpeleleza baunsa Samson mpaka akalegea na kutoboa siri na kutiwa nguvuni.

Hawa wanyarwanda sio wavunbuzi wa hii misheni, bali wamedandia tu.
Hapa usisahau sasa fact moja kubwa kwamba assuming yanayosemwa humu ni kweli, hawa wa kudandia ndiyo wanaoweza kuitumia vizuri zaidi mbinu hii kuliko hata wale wavumbuzi wake
 
Nikuibie siri.... wadada kutoka Rwanda pale wengi wao wazuri sura tu na si vinginevyo... hivyo siku za karibuni wala hawatumiki tena.... Wew una ugeni nao
 
La paix tuxicana
 
Hii story ilifutwa au iligairishwa maana nimetafuta mwendelezo nimetoka kapaa
 
Kuna miss rwanda naon taratibu wameanza kumpandikiza kwa bwana Lugumi soon ataanza kuja bongo huku kwa kazi maalumu
 
We are too big kwao, ila sisi hatuko strategic kama wao.
Nakushauri, usiwa-underate Watusi hata kidogo. Ni watu hatari sana, wako too strategic hawa watu. Mipango yao haina tofauti na ya Waisrael. Lengo ni Kuongoza Afica Nzima.
Chai
 
hata mabaa med wapo wengi tu, sema sasa sura zao hawawezi kujificha. hasa wanaotumiwa hapa bongo ni wale waliozaliwa hapa, utakuta babake mtusi mama mbongo ila kaamua kuwa mnyarwanda, babake kasoma hapa, wamezaliwa hapa ila waliamua kurudi kule na wamepata kazi. hao usipoangalia sura lafudhi ni mtz pure. wapo wengi tu wengine wapo maofisini huko wanajifanya watanzania. itokee siku waweke sanduku la siri mtu arushe jina na ushahidi, watakusanya wengi sana, wakachambue na kufanya uchunguzi wenyewe ili wale walioonewa wachunjwe, nakuhakikishia watapata majina ya wengi sana. wengine viongozi na wameteuliwa na rais utawapata.
 
Eti 60% ya Wanyarwanda ni ma-Spy na 70 ya Wanyarwanda waliopo nje ya Rwanda ni ma-Spy!
Nchi ya Rwanda inaendeshwa kwa siasa za ukabila zaidi ya 80% ya Wanyarwanda ni Wahutu ambao wametengwa na serikali iliyopo madarakani yenye zaidi ya viongozi na watumishi wa kada ya juu kutoka kabila la Watutsi kwa zaidi ya 95% na hata huko mtaani ni Wahutu walio wengi ndiyo wenye maisha ya chini na umasikini uliokithiri,halafu leo useme eti ndiyo wawe majasusi wa kuitumikia serikali inayowabagua kiasi hicho!

Lakini pia eti Baada ya kumgundua huyo Dada kwamba ni jasusi wa Kinyarwanda akaona bora akueleze ukweli na kukiri kwamba yeye ni jasusi wa kutoka Rwanda! Huyo atakuwa jasusi au msukule!
Hata hivyo nimefurahi kuisoma riwaya inayosisimua kwa story yake lakini ni vyema ukaendelea kujifunza vyema uandishi wa riwaya kama hizi kwa kupitia vitabu vya watunzi wenzako waliokutangulia kama Wlly Gamba,Ben Mtobwa,Joram Kiango na Elvis Musiba.
 
Rwanda katika Military base Bado sana kulinganisha na TANZANIA YA NYERERE tumewapatia uhuru nchi nyingi sana mzee so hata uspy wao kwetu ni taka taka Usitumie nguvu kubwa unakumbuka Kikwete alichomfanya kagame mwaka 2013 na 2014 Rwanda idadi yao ya JESHI NI NDOGO KAMA KAMBI ZA POLICE NA MAGEREZA Wenda Uganda ni Wengi
 
Hakuna jasusi atakayekueleza hivyo hata siku mo huyo kakuona una viela vya shamba la ukoo huko akaamua akupige
 
sasa kama wamepima DNA wakakuta ni wao.
Afu usikariri si watusi wote wameathirika na hizi propaganda za kagame na utusi.
Kuna watusi hana habar na siasa wala na wenzao washaolewa huku hata hawajui mtu rwanda
 
Hii inanikumbusha movie moja hivi ya Angelina Jolie na ile ya Black Widow. Vyovyote iwavyo, demu mkali wa kinyarwanda aliyefundishwa sex kijeshi na porn juu, akijipitisha kwangu basi sitosita kuuza nchi in a second.
 
Kaka wajinga humu wametamalaki. Wanasifia Rwanda asubuhi mchana na jioni. Wangekuwa na akili mbona bado ni nchi masikini? Anatema takwimu tu asilimia 70... Hiyo ni nchi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…