Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Baniani mbaya, kiatu chake dawa.
Uzi huu ni mahususi wa kuyakumbuka mazuri ya viongozi wetu ambao wa ngazi ya kitaifa. Viongozi hawa ni wa kisiasa ambao wapo serikalini au kambi ya upinzani. Viongozi ambao wapo hai au wametangulia mbele za haki.
Niwaombe wanajukwaa tufunguke yale mambo ambayo binafsi yamekugusa. Kama kuwakosoa tunafanya hivyo kila mara na inawezekana mabaya yao yanazidi mazuri yao, lakini hapa tuyaweke mazuri yao yaani upande wao ambao waliwahi kuonesha ubinadamu, utu, usaidizi, wema na lolote chanya.
Tuyakumbuke mema yao pia.
Uzi huu ni mahususi wa kuyakumbuka mazuri ya viongozi wetu ambao wa ngazi ya kitaifa. Viongozi hawa ni wa kisiasa ambao wapo serikalini au kambi ya upinzani. Viongozi ambao wapo hai au wametangulia mbele za haki.
Niwaombe wanajukwaa tufunguke yale mambo ambayo binafsi yamekugusa. Kama kuwakosoa tunafanya hivyo kila mara na inawezekana mabaya yao yanazidi mazuri yao, lakini hapa tuyaweke mazuri yao yaani upande wao ambao waliwahi kuonesha ubinadamu, utu, usaidizi, wema na lolote chanya.
Tuyakumbuke mema yao pia.