h120
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,544
- 3,361
Kuna baadhi ya watu waliagiza machine hizo wamezitumia kwa muda mfupi zikapata shida mbalimbali na hivyo kushindwa kupata msaada kwani hamna mafundi wengi waliojilita katika ukarabati na pia uhafifu wa upatikanaji wa vipuri.
Nawakaribisha wote tubadilishane mawazo na kusaidiana kwa wale waliokwama, uamuzi wa kufungua uzi huu ni kwamba sijaona page au forum yoyote kwa hapa Tanzania ambayo imejikita kwenye hizo machine basi hii itakua fursa pekee ya kuwaunganisha wamiliki wote wa machine hizo.
NB
Kwa wasiozijua hizo machine mnaweza kutumia mjomba google, mniwie radhi sintoweka utangulizi au utambulishi.
Tutachambua part moja moja kadri uzi utakavyokwenda.