Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Ink system failureKuna epson l3150 kwenye status inaandika error code 000043,haiprint inawaka taa nyekundu za wino na karatasi..
nimechunguza kama kuna kipande cha karatasi kimebakia kwenye roller hakuna,
nimevuta wino kwa kutumia bomba kwenye zile catridge lakini bado
Nimejaribu ku update drivers lakini bado..
msaada tafadhari
Nafanyaje kutatua tatizo mkuuInk system failure
Check WhatsApp 0767086446 tuone kama twaweza tatuaNafanyaje kutatua tatizo mkuu
Karibu sana WhatsApp kaka tunaweza tatua pamoja.Mkuu aseee ninatatizo printer yangu inavuta paper upande
Printer yako ni aina gani na ina muda gani tangu uinunueWakuu mnao print picha mnatumia settings gani maana mimi kila nikitumia settings zifuatazo natoa picha inakuwa kama na mawimbi wimbi fulani hivi.View attachment 2099881View attachment 2099880
Fanya gentle ink charge. Kisha tumia setting za glossy paper, premium glossy paper n.k quality weka standard au high.Wakuu mnao print picha mnatumia settings gani maana mimi kila nikitumia settings zifuatazo natoa picha inakuwa kama na mawimbi wimbi fulani hivi.View attachment 2099881View attachment 2099880
L3110 ina wiki mbili mkuuPrinter yako ni aina gani na ina muda gani tangu uinunue
Mkuu settengs nimefanya na nimetumia photo paper glossy, na epson premium glossy lakini wapi.Fanya gentle ink charge. Kisha tumia setting za glossy paper, premium glossy paper n.k quality weka standard au high.
But also inategemea umetumia kwa muda gan hiyo head. Vizuri zaid ungeambatanisha picha ya kitu unachoprint.
Enjoy
Hapo fanya gentle ink charge itakuwa poa, hujafanyia muda mrefu, so fanya hivyoMkuu settengs nimefanya na nimetumia photo paper glossy, na epson premium glossy lakini wapi.View attachment 2099966
Hiyo process ndio naifanyaje mkuu em nielekeze.Hapo fanya gentle ink charge itakuwa poa, hujafanyia muda mrefu, so fanya hivyo
Hizi 31... series ni pasua kichwa. Hapa epson walilipua tu.L3110 ina wiki mbili mkuu
Nimesha fiz mkuu nimeenda kwenye settings nikaset more quality nikaachana na high nikasqueez ka mshale alafu nikaprint tatizo halipo kabisa kwa sasa.Hizi 31... series ni pasua kichwa. Hapa epson walilipua tu.
Baada ya wiki mbili uje na mrejesho umeclean mara ngapi. Ku clean mara kwa mara kunachosha head mapemaNimesha fiz mkuu nimeenda kwenye settings nikaset more quality nikaachana na high nikasqueez ka mshale alafu nikaprint tatizo halipo kabisa kwa sasa.
Labda hujanielewa mkuu sijaclean ila nilicho kifanya pale kwenye quality wakati wa kuprint picha si unaweza chagua standard, High na more settings, mi sijachagua Standard wala high ila nimeselect more settings kunakimshale unaweza kukusogeza mpaka kwenye more high quality ndio maana.Baada ya wiki mbili uje na mrejesho umeclean mara ngapi. Ku clean mara kwa mara kunachosha head mapema
Nimekuelewa mkuu. Maana yake ni kwamba umefanya custom settings. Kifupi ni kuwa, hata high quality option haifanyi vizuri.Labda hujanielewa mkuu sijaclean ila nilicho kifanya pale kwenye quality wakati wa kuprint picha si unaweza chagua standard, High na more settings, mi sijachagua Standard wala high ila nimeselect more settings kunakimshale unaweza kukusogeza mpaka kwenye more high quality ndio maana.
Ndio hivyo mkuu ila saiv nataka niitumie hii printer kwanza alafu baadae nije ninunue L850 aisee, maana printer yenyewe ndio kwanza ina wiki 2 tu.Nimekuelewa mkuu. Maana yake ni kwamba umefanya custom settings. Kifupi ni kuwa, hata high quality option haifanyi vizuri.
Kwakuwa tayari unayo hiyo, itakufaa kwenye copping. Nunua l805 kwaajili ya printing tu.Ndio hivyo mkuu ila saiv nataka niitumie hii printer kwanza alafu baadae nije ninunue L850 aisee, maana printer yenyewe ndio kwanza ina wiki 2 tu.