Uzi maalumu wa kuelezea mafanikio uliyoyapata 2023 na mipango ya 2024

Uzi maalumu wa kuelezea mafanikio uliyoyapata 2023 na mipango ya 2024

The Initiator huru

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
1,993
Reaction score
2,635
Karibuni tuelezee mafanikio tuliyoyapata 2023 na mipango ya 2024.Binafsi 2023 nimetoka kapa ila namshukuru Mungu. 2024 mipango yangu ni kuanzisha biashara, kununua kiwanja/viwanja, pamoja na kununua gari hata kama ni old school.
Ee Mwenyezi Mungu unisaidie
 
Back
Top Bottom