majoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,595
- 4,775
Wakati mwingine katika maisha tunapitia vipindi vigumu na vizito vinavyotufanya tuhitaji kufarijika na kutiana moyo. Unaweza kufarijika kwa maneno mazuri toka kwenye vitabu vya dini au toka kwenye mawazo ya mioyo ya wengine. Sio vibaya tukawa tunatiana moyo humu na kufarijiana.
Jaribu kuandika kitakachoweza kufariji au kutia moyo ili kila atakayepita hapa afarijike.
Hasa katika kipindi hiki hali tunayopitia, maisha magumu, kazi hatuna, mafisadi wanakula jasho letu .... tunapambana tu... lazima tugangamale
Zaburi 46 inasema.
Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso. Kwa hiyo hatutaogopa ijapobadilika nchi, ijapotetemeka milima moyoni mwa bahari. Bwana wa majeshi yupo pamoja nasi.
Jaribu kuandika kitakachoweza kufariji au kutia moyo ili kila atakayepita hapa afarijike.
Hasa katika kipindi hiki hali tunayopitia, maisha magumu, kazi hatuna, mafisadi wanakula jasho letu .... tunapambana tu... lazima tugangamale
Zaburi 46 inasema.
Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso. Kwa hiyo hatutaogopa ijapobadilika nchi, ijapotetemeka milima moyoni mwa bahari. Bwana wa majeshi yupo pamoja nasi.