miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,730
ujue hatumtajagi sana mungu kwenye mafanikio lakini hamna kitu bila yyAmina nawe pia uwe na weekend yenye baraka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ujue hatumtajagi sana mungu kwenye mafanikio lakini hamna kitu bila yyAmina nawe pia uwe na weekend yenye baraka.
kifo hakitakiwi kuogope ila je unakufa umefanya mangapi mema ya kumridhisha mungu wako kuepuka adhabu yake kali ,usije fanya wenye magumu wajinyonge mkuuN
Na hatutakiwi kuogopa kifo maana ndio njia ya kwenda hukooooooooo. Kifo ni lazima so Usiogope Ujapopita katika bonde la uvuli wa mauti, Mungu hatakuacha atakuwa pamoja na wewe. Jiandae kufa.
Mbona unamkatisha tamaa, kinyume na uzi uliouanzisha?Nimeshaona message zako nyingi kuhusu Mahondaw lakini nina wasiwasi kama yeye anakupenda umpendavyo, its none of my business ila mmmh umezidi banaaaa.... nyie ndio mnaojinyongaga siku mkipigwa kibuti
kifo hakitakiwi kuogope ila je unakufa umefanya mangapi
Ubarikiwe ila usisahau kuliombea taifa ili acacia wamwage mihela tuache kula kauzu hapa Tanzania.Usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
Tazama wote walioona hasira juu yako watataharika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia.
Kwa maana mimi, Bwana Mungu wako nitakushika mokono wake wa kuume, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia@.
Muianze wekend salama wapendwa BlessedHope JICHO TAI Joseverest kampelewele miminimkulimaakachekasana Mr Miller Perfectz Smart911 Translator Biobenga cyrustheruler
Hajui hata sie tunampenda mahondaw ili tuonje katerero alojifunza huko kagera. Luv u Madame usimalize utamu wote kwa Smart911Nimeshaona message zako nyingi kuhusu Mahondaw lakini nina wasiwasi kama yeye anakupenda umpendavyo, its none of my business ila mmmh umezidi banaaaa.... nyie ndio mnaojinyongaga siku mkipigwa kibuti
Nimeshaona message zako nyingi kuhusu Mahondaw lakini nina wasiwasi kama yeye anakupenda umpendavyo, its none of my business ila mmmh umezidi banaaaa.... nyie ndio mnaojinyongaga siku mkipigwa kibuti
Pamoja na mahondaw wangu...Usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
Tazama wote walioona hasira juu yako watataharika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia.
Kwa maana mimi, Bwana Mungu wako nitakushika mokono wake wa kuume, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia@.
Muianze wekend salama wapendwa BlessedHope JICHO TAI Joseverest kampelewele miminimkulimaakachekasana Mr Miller Perfectz Smart911 Translator Biobenga cyrustheruler
mahondaw wangu...Mi nasema sikuachiii
Nakaba mpaka penatiiiii
Kwa utamu wa nanasii
Naufyonza mpaka BasiiBasiiii
Wenye kusema waseme wala tusijalii
Kwa hayo yako masebene wala sichezi mbalii...
I love you so much Smart911 wangu
mahondaw wangu...
Nasi tupo utukumbuke katika ufalme wako!Mi nasema sikuachiii
Nakaba mpaka penatiiiii
Kwa utamu wa nanasii
Naufyonza mpaka BasiiBasiiii
Wenye kusema waseme wala tusijalii
Kwa hayo yako masebene wala sichezi mbalii...
I love you so much Smart911 wangu
itv,tbc,clouds,startv na tv nyingine zinaumiza macho pia ila hawazifungiMkuu hii rangi unayotumia inaumiza macho, itakua vema kama ukibadilisha na kutumia rangi nyingine.