Uzi maalumu wa kufarijiana kwa wale wote wanaopita kwenye hali ngumu za kimaisha

Uzi maalumu wa kufarijiana kwa wale wote wanaopita kwenye hali ngumu za kimaisha

Mtiye moyo yeyote unaehisi anapitia gumu na unataka Mungu amfanyie wepesi

Naanza
1.Nawatieni Moyo watz wote katka kipindi hiki kigumu cha uchumumi


2. Namtia moyo mange kimambi aendelee na kazi ya kufunda watz wabovu

Mtie moyo yyte
Kutiana n buree...moyo
 
Mtiye moyo yeyote unaehisi anapitia gumu na unataka Mungu amfanyie wepesi

Naanza
1.Nawatieni Moyo watz wote katka kipindi hiki kigumu cha uchumumi


2. Namtia moyo mange kimambi aendelee na kazi ya kufunda watz wabovu

Mtie moyo yyte
Kutiana n buree...moyo
Maajabu mbn ayaishi...bongo.
 
Nawatia moyo wote wenye matatizo ya Moyo wapate mioyo mipya
Ukianza uzi wa kutiana damu mutanishtua maana kuna watu wana
upungufu wa damu
 
Nawatia moyo wote wenye matatizo ya Moyo wapate mioyo mipya
Ukianza uzi wa kutiana damu mutanishtua maana kuna watu wana
upungufu wa damu
Naomba nikutie moyo we ndugu yangu usijekushtuka
 
Kuna wakati mwanadam anapita kwenye majaribu magum kiasi unaweza kusema hakuna Mungu, kila ukigeuka ni hatari tupu hakuna linalo fanikiwa wakati mwingine huijui kesho yako itakuwaje.!! Maisha ya mwanadamu ya mejaa taabu na masumbuko mengi. Karibuni kwa wote tutiane faraja!!
 
Uzur ni kwamba Mungu alishatuandikia atampa kila mja riziki yake kwa wakat sahihi kuna muda tunaona afadhali ungepata kitu flani ingekua bora kumbe unaandaliwa kilichobora zaidi,

Tusikate tamaa, maadam tupo hai tusiache kipambana huku tukiomba Mungu afungue milango ya riziki kwetu

Tusiache kujipa matumaini ipo siku tutapata tunachokililia na kukisotea kwa mda mrefu, Mungu hujibu kila goti lipigwalo kwa nia thabiti
 
Popcorn is more valuable than corn, but before it pops, it must be heated. You're valuable. Don't get upset when challenges heat you up. God intends to pop your corn and releases your value. Don't let the heat make you bitter. It was intended to make you better.
 
Uzur ni kwamba Mungu alishatuandikia atampa kila mja riziki yake kwa wakat sahihi kuna muda tunaona afadhali ungepata kitu flani ingekua bora kumbe unaandaliwa kilichobora zaidi,

Tusikate tamaa, maadam tupo hai tusiache kipambana huku tukiomba Mungu afungue milango ya riziki kwetu

Tusiache kujipa matumaini ipo siku tutapata tunachokililia na kukisotea kwa mda mrefu, Mungu hujibu kila goti lipigwalo kwa nia thabiti
Matatizo yakikuzonga hata huyo Mungu unaweza kusema hayupo.
 
Nimepiga moyo konde hadi nimechoka, nimepambana hadi najihurumia, nimetiwa moyo na kufarijiwa hadi basi.. ila ugumu wa mambo kama vile ninauchochea,,, kwasasa ninaangalia kitakachotokea tu..
Mungu ninayemuamini ndio ameruhusu haya yatokee na ninajua anao uwezo wa kubadilisha hii hali
 
Jitie moyo wa ushujaa unapoona mambo magumu ujue kuna kheri mbele kwani katika magumu ndipo tunamtaja Mungu kwa kumaanisha naye huwa si kiziwi ukimwita husogea naye hukufanyia kheri na kuleta wepesi. Tusipende sana kunung'unika mapito ni IBADA
 
Back
Top Bottom