Sammo Hung
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,151
- 1,321
Sio kila kitu ni mpango wa Mungu ila kila kinachotokea ujue Mungu ameruhusu kitokee.Mkuu hongera sana umeiva kwenye haya mambo safi sana. Kwahiyo kila kitu ni mpango wa Mungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila kitu ni mpango wa Mungu ila kila kinachotokea ujue Mungu ameruhusu kitokee.Mkuu hongera sana umeiva kwenye haya mambo safi sana. Kwahiyo kila kitu ni mpango wa Mungu?
Mkuu nisawa but usiwe na madeni, ukiwa na madeni na hayalipiki hii dunia utaiona chungu mara 200
Mkuu ni kweli kabisa, lakini wakati upo kwenye shida huwezi kuelewa historia zawengine utaona kama pengine siyo kweli, hakuna kitu kibaya kama kuvunjika moyo.Kitu muhimu Sana, ukiwa na matatizo makubwa fikiria, soma maisha ya watu waliokuwa na matatizo makubwa zaidi yako, na jinsi walivyokabiliana nayo.
Unaweza kujifunza kitu kwa watu Kama Mandela, Dalali Lama, Single mothers, yatima, wafungwa wa maisha nk.
Usiseme hivyo ndugu yangu, siku zote matatizo kwa mja ni sehemu ya kukamilisha ibaada.Matatizo yakikuzonga hata huyo Mungu unaweza kusema hayupo.
Ndivyo tunavyoamini hivyo..lakini VIPI WALE WANAO KUFANYIA USHIRIKINA NA VITU VYA KICHAWI usifanikiwe?hao ndy wanaotusumbuwa KTK RIZIKI ZETU za kila siku. ..utakuta mtu alichonacho sasa ni robo tu ya ALICHOANDIKIWA NA MUNGU,,hayo mengine kuna watu WACHAWI NA HATERS wanazuia maendeleo ya mtuUzur ni kwamba Mungu alishatuandikia atampa kila mja riziki yake kwa wakat sahihi kuna muda tunaona afadhali ungepata kitu flani ingekua bora kumbe unaandaliwa kilichobora zaidi,
Tusikate tamaa, maadam tupo hai tusiache kipambana huku tukiomba Mungu afungue milango ya riziki kwetu
Tusiache kujipa matumaini ipo siku tutapata tunachokililia na kukisotea kwa mda mrefu, Mungu hujibu kila goti lipigwalo kwa nia thabiti
So unataka kusema nn?? Ukajigange kujiweka sawa wasikupate? Ukalinde mali zako zisifatwe?? My dear omba sana Mungu akushibishe imani, ijae isiwe haba, zidisha maombi kama n muslim pendelea kuswali na kufanya visomo vya kuomba ulinzi kutoka kwa MunguNdivyo tunavyoamini hivyo..lakini VIPI WALE WANAO KUFANYIA USHIRIKINA NA VITU VYA KICHAWI usifanikiwe?hao ndy wanaotusumbuwa KTK RIZIKI ZETU za kila siku. ..utakuta mtu alichonacho sasa ni robo tu ya ALICHOANDIKIWA NA MUNGU,,hayo mengine kuna watu WACHAWI NA HATERS wanazuia maendeleo ya mtu
asante...barikiwaPopcorn is more valuable than corn, but before it pops, it must be heated. You're valuable. Don't get upset when challenges heat you up. God intends to pop your corn and releases your value. Don't let the heat make you bitter. It was intended to make you better.
pole sana mkuu"" utapita tu katika hizi nyakati na bila Shaka utayasahau maumivu na kuvuna faraja ""Nimepiga moyo konde hadi nimechoka, nimepambana hadi najihurumia, nimetiwa moyo na kufarijiwa hadi basi.. ila ugumu wa mambo kama vile ninauchochea,,, kwasasa ninaangalia kitakachotokea tu..
Mungu ninayemuamini ndio ameruhusu haya yatokee na ninajua anao uwezo wa kubadilisha hii hali
pole sana "" kila jambo lipo kwa sabbu maalumu "" hpo upo mahala penye kukupa fursa ya kujifunza ya walimwengu "" ili wakati wako wa ku rise utakapofika "" iwe umeshaweza kutambua Rangi za walimwengu na desturi zao "" yatapita tuMiaka 2 Sasa Sina Kazi Wala Kibarua Kila Mchakato Unabuma Daaah Maisha Magumu Jamani, Meseji Ikiingia Kwenye Simu Ujue Ni Kampuni Ya Simu Na Promosheni Zao Hakuna Cha Bebi Wala Honey Wala I Miss U ... Jamaniiiii
Ninatamani iwe hivyo mkuu,,pole sana mkuu"" utapita tu katika hizi nyakati na bila Shaka utayasahau maumivu na kuvuna faraja ""
Mungu anamipango na wewe "" agano litatimia tu " na bila shaka hutokuja kubaki kama ulivyoNinatamani iwe hivyo mkuu,,
Asante sana mkuu, hata mimi ninaamini ipo siku haya ninayopitia yatakuwa hadithi.Mungu anamipango na wewe "" agano litatimia tu " na bila shaka hutokuja kubaki kama ulivyo
vyema sana ""Asante sana mkuu, hata mimi ninaamini ipo siku haya ninayopitia yatakuwa hadithi.
Sitaki kusifu ukubwa wa matatizo niliyonayo ila ninasifu ukubwa na uwezo mkuu wa Mungu anayenipigania siku zote.
kuna kipindi nilipataga misukosukoHuu ni Uzi maalum kwa ajili ya kutoa faraja kwa wote wenye huzuni ya aina yeyote, mfano kuwapa faraja wagonjwa wote mahositalini, kupeana faraja za kimaisha kwa kuyumba kiuchumi, wale wenye vyeti halafu hawana ajira, wenye vyeti feki waliochishwa kazi n.k
Karibuni tupeane faraja