Kwa kuonana Kuna noga endapo mkiwa jinsia mbili tofauti [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Kuonana sio lazima muwe sehemu moja mkuu japo nimekuelewa
Kwa kuonana Kuna noga endapo mkiwa jinsia mbili tofauti [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Umeona eeh [emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]Kabisa Mkuu maana hapo faraja ya kweli ndio inazaliwa
Mkuu mbona umejishusha chini san?Ni kwel aisee kwan hata watu wa chini kimaisha tunahitaj faraja
Asante maamPoole
Sawa mkuu asante kwa farajaKula pringles kopo moja na azam embe utakuwa sawa
Utateseka tena?? Au hutoteseka ? MkuuNjoo kwangu utateseka tena
Mkuu umegusa hadi matatizo yangu ha ha ha haPole wote mnaouguliwa, poleni wote mliofilisika komaeni ipo siku mtainuka tu,
poleni mliodanganywa kimapenzi kisha mkaachwa poleni ila mjikaze mtapata wenzi wengine walio wema kwenu,
poleni wote ambao mabosi wenu wanawanyanyapaa kazini jipeni moyo na kujipanga jinsi ya kupata mtaji wa kujiajiri,
poleni wahitimu wote ambao kwa muda mrefu hamna ajira au mmepata ajira ambayo kipato chake ni kidogo sana kiasi kwamba ukipata pa kutokea utakimbia bila kugeuka nyuma.
Poleni mliofiwa,
poleni mliotumbuliwa siku si nyingi mtapata kazi nyingine.
Poleni sana.
kuna kipindi nilipataga misukosuko
nilitamani Dunia ipasuke...ilifikia kipindi nilitamani hata nigongwe na gari au kitu kibaya kinipate ili nife but haikuwa hivyo...
ni vile unapita wakati mgumu hata ndugu/rafiki na mpenz wanakukimbia ni hatari sanaaa
tangu hapo sikutaka tena kuamini/kuwategemea watu......
nilijiapiza na Mungu wangu na kuweka ahadi na Mungu wangu
from now nakula mema ya Nchi japo sijafikia but atlest now...naona mwanga mkubwa wa maisha yangu tofauti na kipindi cha Nyuma...
Kuna wakati now nadhani bado nipo ndotoni coz siamini kama ndiyo Mimi ambaye watu walinicheka na kunidhihaki....
hata walionitenga Leo ndiyo wakwanza kuninyenyekea...
nilichojifunza
wakati mwingine Mungu anaruhusu upitie magumu ili akufikishe kwenye kusuidio na sehemu aliyokuandalia...
lait kama wale niliowategemea wangefanya kama nilivyodhani au lait kama baba asingenitelekeza pengine leo "NISINGEKUWA MTU MAALUMU" katika Dunia yetu. ....
Natamani Kushare Nanyi story abt My life
Na mimi ninayeteswa na mapenzi naombeni mnifariji.
Hivi kweli ndiyo faraja hii?Hahahahhaaaa
Hivi kweli ndiyo faraja hii?
unataka ufarijiwe au upatiwe mapesa?Wale wenye shida ya hela ya haraka pia tunahitaji faraja? Kama ndio naomba na mimi mnifariji.
Mfariji wako nipo hapa, pembeni yako kabisa....[emoji39] [emoji39] [emoji39]Hivi kweli ndiyo faraja hii?
Mfariji wako ni airtel hujagundua tu? Utaishi huru ukiwa naeHivi kweli ndiyo faraja hii?