Uzi maalumu wa kufarijiana kwa wale wote wanaopita kwenye hali ngumu za kimaisha

DSE hawana pesa zaidi zaidi atamwongezea stress, kazi zao ni kuamka na kupanga masoko ya hisa yalivyoshuka na kupanda
Faraja ya mapenzi ni kupata mbadala wa anaekupa stress. Nina kaka angu ako DSE very handsome atakufaa kukufariji kipindi hiki
 
Handsome sana yani anaweza kukupa ugonjwa wa moyo ukiingia dm yake wanavyomsumbua wadada wa mujini
Uwiiii huyo ndiyo mwenyewe.
Wewe nipe hiyo DM yake niende nika break internet kama bint Mobetto.
 
Kwani wabaya ndo hawatesi? Tena hao ndo wanavyojishauaga wakipendwa na mdada mzuri jamani wanaonaga kama wanaown dunia. Mwanaume mzuri mpango mzima.
Hapo ataingia kwenye mateso sio faraja Tena aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…