Uzi maalumu wa kufarijiana kwa wale wote wanaopita kwenye hali ngumu za kimaisha

Huyu ukimtoa hela utakua hatari. Maana bata utakula kama loteeeee ila hela yake kama kapewa sharti na mganga
Nakuahidi Mimi nitafanikiwa kumtoa hela. Nitamchuna hadi unionee wivu ujute kwanini uliniunganisha nae.
 
MANENO kuntu walahi
Endelea kubarikiwa in the right directions walahi
 
I'm waiting for this beautiful & courageous story
 
Nakuahidi Mimi nitafanikiwa kumtoa hela. Nitamchuna hadi unionee wivu ujute kwanini uliniunganisha nae.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kazi ipo mawifi wasivyopenda Kaka zao kutoa pesa , lakini mawif hao hao wakipewa pesa na wanume zao wanajisifu wanapendwa , shida kwel kwel, kumuelewa mwanamke inahitaji elim zaidi ya uprofesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahaha inaumaga maana wewe ukiomba unaambiwa hali ngumu. Mchumba akiomba fastaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…