Uzi maalumu wa kufarijiana kwa wale wote wanaopita kwenye hali ngumu za kimaisha

Ila kuchoka akili acha kabisa
Nimeelewa kwa nini wenzetu husafiri umbali mrefu kutalii

Kuna muda moja haikai mbili haishiki


bora umeelewa...nimechooka na kazi zenyewe hizi😤nmepata opportunity fulan ila.moyo mzito kidrop kibarua...bas nipo kama sipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…