adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,033
- 15,638
waheshimiwa mabibi na mabwana
sasa imefikia wakati wetu!
wa kuisifia nchi yetu najua wengi kwa namna moja au nyingine wamekuwa sio wazalendo wa nchi yao kwa mambo yanayoendelea!
mbali na hapo nchi yetu ina mambo mengi murua huwezi kuchukia yote mengine yasikupe furaha.
embu kwa pamoja hata kama wewe ni msela,mzee,mjanja wa town,mwizi,tapeli,polisi,changu bado kuna vitu vinakuvutia katika nchi yetu tanzania labda unavijua au huvijui lakini vipo.naomba japo utiririke maana najua kipo kimojawapo.
kwangu mi napenda hii amani yaani unaenda popote unafanya chochote ikiwa huvunji sheria za nchi inakuwa safi sana!hapa nagonga vyombo na askari wanatulinda tusigombane raha ilioje hii
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa imefikia wakati wetu!
wa kuisifia nchi yetu najua wengi kwa namna moja au nyingine wamekuwa sio wazalendo wa nchi yao kwa mambo yanayoendelea!
mbali na hapo nchi yetu ina mambo mengi murua huwezi kuchukia yote mengine yasikupe furaha.
embu kwa pamoja hata kama wewe ni msela,mzee,mjanja wa town,mwizi,tapeli,polisi,changu bado kuna vitu vinakuvutia katika nchi yetu tanzania labda unavijua au huvijui lakini vipo.naomba japo utiririke maana najua kipo kimojawapo.
kwangu mi napenda hii amani yaani unaenda popote unafanya chochote ikiwa huvunji sheria za nchi inakuwa safi sana!hapa nagonga vyombo na askari wanatulinda tusigombane raha ilioje hii
Sent using Jamii Forums mobile app