Uzi maalumu wa kukumbuka marafiki mliopotezana au kusahauliana.

Uzi maalumu wa kukumbuka marafiki mliopotezana au kusahauliana.

Hannah

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
9,679
Reaction score
39,087
Habari wana Jf.
Katika maisha kuna vitu vinakuja na kupotea,

Kuna watu wanakuja katika maisha yako na kutoweka.

Kuna watu mlizoeana kipindi fulani lakini ghafla mmesahauliana. (Bila ugomvi).

Yawezekana mlikutana katika mada Fulani mfano siasani ( enzi za kampeni) au katika sakata lolote.

Au ulipotezana na rafiki yako hata nje ya Jf na umemkumbuka na haujui utampataje.

Chukua nafasi hii kum tag, kuonyesha ni namna gani unamjali bado na ume miss kipindi hicho.

Ndugu yangu Avatar mok ni kitambo sana ila nimekukumbuka sana.
 
Najikumbuka Mimi mwenyewe nilikuwa nimejisahau sana
 
Childhood friend- Brenda wa Mikocheni wherever you are I miss you so much darling.

Primary friends
Neema Uledi, long time i wish to see you one more time.

Magdalena Francis, i know your big mama now, plz can i see you one more time?

Peace Chuwa, Omg i remember your cute face,(na ulivyokua muoga wa fimbo lakini utundu sasa, lol)

Zaituni Yahya, you were so shy, are you still that lil girl with a cute smile and polite face? wish to see you jamani,

Anna Kika, (RIP princess) untill we meet again, you will always remain in my heart.[emoji24] [emoji24] [emoji24]

Umenikumbusha mbali sana mtoa mada daah.
 
Childhood friend- Brenda wa Mikocheni wherever you are I miss you so much darling.

Primary friends
Neema Uledi, long time i wish to see you one more time.

Magdalena Francis, i know your big mama now, plz can i see you one more time?

Peace Chuwa, Omg i remember your cute face,(na ulivyokua muoga wa fimbo lakini utundu sasa, lol)

Zaituni Yahya, you were so shy, are you still that lil girl with a cute smile and polite face? wish to see you jamani,

Anna Kika, (RIP princess) untill we meet again, you will always remain in my heart.[emoji24] [emoji24] [emoji24]

Umenikumbusha mbali sana mtoa mada daah.
Pole mpendwa.
I wish wawe ni member humu waku pm..
Pole pia kuhusu rafiki yako (RIP). Natamani a smile huko alipo.[emoji7]
 
Dah... Angela..popote ulipo. Tulikutana pale Tabora kwenye Mkutano Mkuu wa TYL, Tarehe 16 mwezi Julai, 1956....Ujue busu lako bado limeniachia ganzi hadi leo shavuni.... Na ujue bado nakupenda [emoji13] [emoji13]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah... Angela..popote ulipo. Tulikutana pale Tabora kwenye Mkutano Mkuu wa TYL, Tarehe 16 mwezi Julai, 1956....Ujue busu lako bado limeniachia ganzi hadi leo shavuni.... Na ujue bado nakupenda [emoji13] [emoji13]
1956[emoji2] [emoji2] .
Angela atakuwa ni mbibi sasa. Ha ha ha
 
My twin. everlenk nakukumbuka sana atii.
pwilo
@piterchoka
Abou Saydou
Bailly5
Diva Beyonce
AdvocateFi
Ms.Lincoln
unanitaka
My Dada espy
Nifah
Bila kuwasahau majirani zangu,
data ulinipa tabu wewe.
BansenBurner ha ha ha ukanichora katuni.
Kidingi ulikuwa mnokho ..
kende
kedrick ha ha ha muuza njiwa ( usinune sasa)
sumbai ulikuwa kuna siku Yes siku nyingine no. Haha haha
Viol upo wapi siku hizi?
Manga ML Mume ya atoto enzi hizo..( umemficha wapi atoto?)
Jamani mpo wengi sanaa .
Nawapenda siku zote.
Nimekumbuka enzi zetu ..( utoto raaaaaaaha)
 
Back
Top Bottom